Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,394
- 17,995
Mwananchi, 29/ 02/ 2012 uk 11
Mbunge wa Jimbo la Songwe Philip Mulugo ambaye pia ni naibu waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, amewataka watendaji kata na vijiji kuwakamatana kuwaweka ndani wananchi wanaokataakuchangia ujenzi wa vyumba vya madarasa nanyumba za waalimu.
My take:
Je huyu naibu waziri anajua kuwa nchi hii inatawaliwa kisheria?. Na ukiisha mshika huyo mwananchi aliyekataa kuchangia maendeleo utamshataki kwa kifungu gani
Mbunge wa Jimbo la Songwe Philip Mulugo ambaye pia ni naibu waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, amewataka watendaji kata na vijiji kuwakamatana kuwaweka ndani wananchi wanaokataakuchangia ujenzi wa vyumba vya madarasa nanyumba za waalimu.
My take:
Je huyu naibu waziri anajua kuwa nchi hii inatawaliwa kisheria?. Na ukiisha mshika huyo mwananchi aliyekataa kuchangia maendeleo utamshataki kwa kifungu gani