Narudi kwenye hoja
Kuna PhD za aina 2 kuu. 1.PhD by Monography, hii unafanya utafiti wako na kuandika thesis ya kitabu kikubwa hivi . Aina hii ya PhD haina ulazima wa wewe kupublish ila unaweza kufanya hiyo kwa mapenzi yako na pia pia supervisors wako. Nadhani hi aina ya PhD ndo aliyoofanya Mhe. JPM hapo UDSM. Hongera Mhe Rais
2. PhD by publications. Hii aina ya PhD ni lazima uwe na machapisho . Mangapi, inategemea na chuo. Zingine zinataka hata 2 published + 2 submitted au 3 .... Hii ni aina ya PhD inayokulazimu utoe machapisho.
Kwa maoni yangu, hata kama umefanya PhD by monograph ni vizuri ku kupublish hata paper 1-2 , hata baada ya kumaliza course ili uweze kushare findings zako na dunia ingine. Kwani ugunduzi wako unaweza kuwa na maana kubwa kwa watu wengine hata kuzidi wewe na wakautumia vizuri. Si vyems kabisa kuweke findings zako LIBRARY TU.
Nguvu ha hoja ya mtoa Mada, ni kwamba, Utafiti wa wasomi wetu wanao upata utumike kutatua matatizo ya wananchi na siyo kubaki LIBRARY au kwenye JOURNALS. So Mhe JPM asaidie kuonyesha mfano, hasa ukizingatia anamamlaka na knowledge, huo utafiti wake ujiuyonyeshe katika kuwasaidia au kutatua shida za wananchi. Kufanya hivyo kuan weza kusaidia policy zetu za utafiti zilenge moja kwa moja kutatua matatatizo ya nchi na isiwe mtu akifanya utafiti anaenda kuweka kwenye kabati wakati kodi za wananchi zilitumika na hivyo wananchi lazima wapate matunda. Hili litakuwa somo zuri kwetu kama Mhe JPM ataanza na hizo korosho.
Kuna PhD za aina 2 kuu. 1.PhD by Monography, hii unafanya utafiti wako na kuandika thesis ya kitabu kikubwa hivi . Aina hii ya PhD haina ulazima wa wewe kupublish ila unaweza kufanya hiyo kwa mapenzi yako na pia pia supervisors wako. Nadhani hi aina ya PhD ndo aliyoofanya Mhe. JPM hapo UDSM. Hongera Mhe Rais
2. PhD by publications. Hii aina ya PhD ni lazima uwe na machapisho . Mangapi, inategemea na chuo. Zingine zinataka hata 2 published + 2 submitted au 3 .... Hii ni aina ya PhD inayokulazimu utoe machapisho.
Kwa maoni yangu, hata kama umefanya PhD by monograph ni vizuri ku kupublish hata paper 1-2 , hata baada ya kumaliza course ili uweze kushare findings zako na dunia ingine. Kwani ugunduzi wako unaweza kuwa na maana kubwa kwa watu wengine hata kuzidi wewe na wakautumia vizuri. Si vyems kabisa kuweke findings zako LIBRARY TU.
Nguvu ha hoja ya mtoa Mada, ni kwamba, Utafiti wa wasomi wetu wanao upata utumike kutatua matatizo ya wananchi na siyo kubaki LIBRARY au kwenye JOURNALS. So Mhe JPM asaidie kuonyesha mfano, hasa ukizingatia anamamlaka na knowledge, huo utafiti wake ujiuyonyeshe katika kuwasaidia au kutatua shida za wananchi. Kufanya hivyo kuan weza kusaidia policy zetu za utafiti zilenge moja kwa moja kutatua matatatizo ya nchi na isiwe mtu akifanya utafiti anaenda kuweka kwenye kabati wakati kodi za wananchi zilitumika na hivyo wananchi lazima wapate matunda. Hili litakuwa somo zuri kwetu kama Mhe JPM ataanza na hizo korosho.