Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 3,839
- 3,087
Acha kashfa na dharau
Kwa ulivyomtetea lazima akutoe!, kama si wewe mwenyewe au shemeji yake!
Acha kashfa na dharau
Nahisi nchimbi anaandaliwa kuja kupewa uongozi flani na watu flani wabaya
wakuu wa kazi, juzi mzumbe walikaririwa na vyombo vya habari wakimtunuka nchimbi phd. Ieleweke kuwa kwa muda mrefu huyu jamaa amekuwa akiitwa doctor kumbe hana phd. Kama hali imefikia hivi hatuoni kuwa Tanzania tumefika kubaya? Mtu anajiita dr wakati he doesnt have such qualification. Na hata kama mzumbe wamempa hii phd tuambiwe amesoma saa ngapi?
hiyo thesis imefanywa na nani kwa sababu ndi ngumu sana kubalance between masomo na siasa, especially being a minister. I am doubting universities zetu hizi, zinachangia kuzalisha wasomi feki. The top most three in fake phd are UDOM, UDSM and MZUMBE. Hii ni embarassment kwa jamii ya wasomi kutoa degree zisizofanyiwa kazi.
Hatuwezi kufika huko tunakotaka kama hali yetu ndiyo hii. maana tumefikia upumbavu wa hali ya juu kwa kujidanganya kuwa tuna wasomi kumbe sifa haziendani na kisomo cha mtu. Huu ni ufisadi wa aina ya pekee. Wanasiasa wanaweza kupata phd ki rahais hivi!
Hata ukiwa na PHD ngapi what matters ni can you deliver? Kuna watu wana phd kibao tu but what have they done with them. Unakuta mtu una Phd ya IT then unafanya supporting work,total wastage of taxpayers money kama ulisomeshwa na serikali. Go out of your way and solve pressings problem in the society. For me I will respect mtu anafanya positive contributin kwa society bila any degree than a professor who keeps on whining about the sorry state of his/her country!
Wenzako wanaongelea elimu wewe unaongelea siasa sijui kama mtaelewana.Hivi watu mmekosa kazi kila siku ni kuropoka tu, UDOM hawajatoa phd hata moja we umeanza kuita feki, UDSM haya twambie ufeki wao uko wapi? Na wewe umepata wapi uwezo wa kutambua phd feki na genuin?
Vijana mbona mmejiingiza kwenye majungu ambayo hayatawasaidia? Nchimbi wewe huwezi kushindana nae phd kashapewa unapoteza muda wako na ela yako kuandika pumba humu.
Vijana chapeni kazi acha majungu
Kaka tatizo sio phd yake, ila ni kwanini alikuwa akijiita dr wakati alikuwa haja qualify? Au yeye ni dr, dr nchimbi?Mtoa hoja ana mtazamo wa jumla sana inaonekana tatizo ninnchimbi kuwa mwanasiasa,mbona magufuli aliweza kumaliza Phd na tukashangilia na kumsifia?kama Nchimbi ameweza kubalance majukumu na kukamilisha Thesis yake anastahili kupongezwa na sio kubezwa tatizo wa Tz wengi kutwa kucha porojo tu na umbea watu wanapiga shule wakihitimu mnasena shahada feke present basi yako real tuione kama mfano,we talk much than what we act wake TZ
Jk alipewa unesi na udom?Hivi watu mmekosa kazi kila siku ni kuropoka tu, UDOM hawajatoa phd hata moja we umeanza kuita feki, UDSM haya twambie ufeki wao uko wapi? Na wewe umepata wapi uwezo wa kutambua phd feki na genuin?
Vijana mbona mmejiingiza kwenye majungu ambayo hayatawasaidia? Nchimbi wewe huwezi kushindana nae phd kashapewa unapoteza muda wako na ela yako kuandika pumba humu.
Vijana chapeni kazi acha majungu
Wewe vp ! Harvard ilinunua Rada ya hovyo kwa bei mbaya.Acha kashfa na dharau
Nahisi nchimbi anaandaliwa kuja kupewa uongozi flani na watu flani wabaya