WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Kwanza nashangazwa na vigezo vya vipimo vyako.....Nchimbi hawezi kuongea kiingereza...umejuaje hujasema na wewe umekuwa TOEFL siku hizi.Unasema ameandikiwa,lakini unajua kuna viva voce hapa ambayo mwanafunzi anakaa mbele ya panel inayohusisha walimu toka vyuo mbalimbali na kujidefend ili apate?alikuilipa wewe umfanyie?.....mwenzio anasema kuwa Msemakweli alimuumbua ndio akaenda shule tena...huu ni uongo msemakweli katoa kitabu chake mwaka 2009 na nchimbi kaanza phd yake mwaka 2006.alimuogopaje bila kitabu kuwepo.....chuki mbaya sana magufuli alipopata phd wote mlipongeza now kwa kuwa ni nchimbi unaibuka....imetoka hio u can't reverse kamanda
Hata mimi nakuunga mkono kwenye red hapo juu.
Mtu akiandikiwa PHD kazi itakuwa kwenye "viva" maana atalia na kusaga meno! Kama kapita Viva basi ni bora aheshimiwe kama msomi badala ya kummbeza.