Petrol kenya sh 1320 ya TZ, je kwa nini sisi ishindikane?

serikali ya jirani zetu wa kenya imepunguza ushuru wa mafuta kiasi sasa bei ya mafuta imeshuka na kufika 1320 kwa lita? sasa ile propaganda ya mkuu wa kaya na serikali yeka eya kichovu kua serikali haina cha kufanya kwenye kupanda kwa bei ya mafuta as long as inapanda kwenye world market.
na hilo limewezakana kwa maandamano kidogo tu cjui sisi hapa tunasubiri nini kama bei iko kwenye 2020 kwa lita? tena yaliyochakachuliwa hasa!
ni mipango mibovu au ufinyu utendaji wa serikali ktk kufikiria kutafuta vyanzo vingine vya mapato na kunga'ng'ania mafuta peke yake?

UMEPOTOSHWA MKUU, HIYO TAARIFA ULIYOTOA SIO SAHIHI!!

Bei ya Petrol leo hapa Nairobi ni KSH 111.10 ambayo ni sawa na TSH 1999.8 kwa rate ya KSH/TSH 18
Na Bei ya Diesel ni KSH 107.50 sawa na TSH 1935.
 
Hizo si habari za kweli,bei ya mafuta nairobi leo saa sita mchana ilikuwa ni kshs 111 ambayo ni sawa na tshs 1945.Nimejaza mafuta binafsi kwa bei hiyo,japo ni afadhali kidogo compared to Tz lakini sio tshs 1320!
Kipi si kweli? Kwamba serikali ya Kenya haikushusha ushuru wa mafuta? au?!
 
Ishu ya mafuta ni nyeti kuliko watu wanavoidhania..kuna baadhi ya nchi especially zile ambazo zinakuwa managed vizuri kifedha serikali huwa inatoa ruzuku kwene bidhaa muhimu ikiwemo mafuta, ili mabadiliko ya bei yasimuathiri mwananchi moja kwa moja, na hivyo kutoa kama sponji la kiuchumi ktk mazingira magumu ya mabadiliko ya bei. Kwa nchi ambayo inakaribia anarchy ambayo is highly mismanaged kama Tz, kitu kama hicho ni ndoto.
 
Back
Top Bottom