Jambazi ni wale waliomfata ofisini kwake.Huyo jamaa yenu ni jambazi,
Bora umewahi kulijua hilo kwani ungepoteza muda kujibizana nayeNenda mahakamani kama una ushahidi kweli zacharia ni jambazi...pia nimejaribu kupitia maoni yako mbali mbali humu jf unaonekana wa lumumba hata penye ukweli kuhusu srkl unapindisha ....
Acha unafiki. Zacharia alikuwa na maadui wengi. Ni jambazi.
hutawaona mahakamani, ni aibu sana kwa kiongozi kutamka wale ni usalama wa Taifa, sijui kwa nini bado yupo madarakani, usalama wa taifa gani huyo anayejulikana na kila mtu, kuna usalama hapo tena.nasubiri mahakamani wkati wa kedsi tutawajua zaidi,
kama nawaona vile wakijitetea
Wafrika katika ubora wao,hivi serikali inampa jambazi silaha?na kama ni jambazi siyo kazi ya usalama wa taifa kumkamata ni kazi ya polisi,huo ni ukweli,kamati ya ulinzi ya mkoa ndio wanatoa kibali cha silaha na katika kamati hizo usalama wako ndani,ukiwa na tuhuma za uhalifu haulewi kibali.Acha unafiki. Zacharia alikuwa na maadui wengi. Ni jambazi.
Mfanyabiashara maarufu na Mmiliki ya Mabasi ya Zakaria, Peter Zakaria amepandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka mawili ya kujaribu kuua, amenyimwa dhamana hadi Julai 10 Mahakama itakapotoa uamuzi mdogo kuhusu dhamana.
---
Hayo yamebainishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Musoma hii leo Julai 05, 2018 na kumnyima dhamana mtuhumiwa huyo kwa kile kilichoelezwa kwamba wale waliojeruhiwa hali zao kiafya kuwa ni mbaya katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambapo wanapatiwa matibabu.
Mbali na hilo, Mahakama imesema sababu nyingine za mtuhumiwa huyo kutopewa hati ya dhamana ni kutaka kulinda usalama wake lakini Mawakili wa upande wa utetezi wakapinga hoja hiyo kwamba hakuna ukweli wowote kama mteja wao akiachiwa ataweza kudhurika.
Vile vile, Mawakili wa upande wa utetezi wamesema hakuna hati yoyote iliyowasilishwa Mahakamani ya kuonesha kwamba hao majeruhi wamelazwa katika hospitali ya Muhimbili na kama kweli wametibiwa.
Baada ya mvutano huo, Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu mkazi Musoma, Rahim Mushi amesema Mahakama ipewe muda mpaka Julai 10 ili waweze kupitia uamuzi mdogo kuhusiana na suala la dhamana kama mtuhumiwa anastahili au laa.
Peter Zacharia alikamatwa na Jeshi la Polisi mnamo Juni 29, 2018 akidaiwa kuwajeruhi kwa risasi watu wanaodaiwa kuwa ni maofisa Usalama wa Taifa, tukio lililotokea katika kituo cha mafuta kinachomilikiwa na mfanyabiashara huyo.
Pia soma
>Kesi ya Zakaria: Polisi washindwa kumfikisha mahakamani. Wadai jalada halijakamilika. Ndugu wakesha mahakamani
>Tarime, Mara: Mmiliki wa mabasi ya Zacharia awapiga risasi maafisa wa Usalama wa Taifa, ashikiliwa na Polisi
>Mmiliki wa mabasi ya Zakaria amenidhulumu mali yangu na kutishia kuniua
Nadhani wewe ndiye akili haiko sawa, maana yule ni jambazi
Yule malaika wao ni jambaz namba moja wa keki ya taifa.Nadhani wewe ndiye akili haiko sawa, maana yule ni jambazi
Mkuu unamchokoza Mbowe na shamba lake la majani matatu!Zacharia si ana kadi ya kijani nakuuliza hivi yule mwenyekiti wa watu wanaovaa mashati ya mboga mboga aliongopa?
Ndiyooooooooooooooooooooooooooo!CCM kuna mtu sio jambazi kweli?
Jambazi ukitaka kumkamata lazima alete purukushani!So alitaka kupora kwenye petrol station yake mwenyewe,hadi akafikia kujeruhi kwa risasi?
Jamaa yao nani? unamkana vipi? Haishangazi hata kidogo kuwa ni jambazi, si katokea kwenye chama chenu cha majamabzi?Huyo jamaa yenu ni jambazi,
Wewe hata hujitambui kabisaAcha unafiki. Zacharia alikuwa na maadui wengi. Ni jambazi.
Huyu ni kada wenu n mjumbe wa nec,mabasi yke 2015 yalitumiwa n ccm kusomba watu.ukisema jambazi mwenzenu hapo sawa mana jambazi rafiki yake nae jambawazi,sasa dadaHuyo jamaa yenu ni jambazi,
hadi raha aiseeHuyu ni kada wenu n mjumbe wa nec,mabasi yke 2015 yalitumiwa n ccm kusomba watu.ukisema jambazi mwenzenu hapo sawa mana jambazi rafiki yake nae jambawazi,sasa dada