GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,155
- 3,399
Leo katika mdahalo uliofanyika katika chuo kikuu cha mkwawa. Mdahalo huo umeudhuliwa na watu mbalimbali akiwepo Mbunge wa Iringa.
Ilipofika zamu ya Msigwa kuongea alikili wazi kuwa Magufuli kuwa ni kiongozi bora na anayetumia sera za CHADEMA
Hongera sana msigwa kwa kumuunga mkono Rais wetu.
Ilipofika zamu ya Msigwa kuongea alikili wazi kuwa Magufuli kuwa ni kiongozi bora na anayetumia sera za CHADEMA
Hongera sana msigwa kwa kumuunga mkono Rais wetu.