Kijana anajitahidi sana hata anapowasaidia washindani wenzake anafanya kwa moyo. Nimempigia kura kwa kadri nilivyoweza ila sijui kama wabongo tumempa za kutosha
Ofcoz lugha ni problem, hata Matonya pale aliulizwa swali kwa kiingereza akajing'ata kwa kiswahili, ila hiisiyo ishu sana, cha msingi ni kuwa nyimbo wanazoimba ni nzuri hata kama lugha ni tatizo. Ndio maana wengine ni washabiki wa miziki ya kihindi maarufu kama Nachi ilihali hatuelewi kila wanachoimba..shida kubwa kbsa ya watanzania hapo TPF ni LUGHA! Kwakweli ukimsikiliza PM anavyoongea kiingereza utamwonea huruma. Sijasema kujua kiingereza ni tija sana, lakini ndiyo comm-medium ya almost mambo yote hapo mahala. Nilimsikia siku moja akiwa amerelax na wenzake anaongea, kweli anateseka, kinachomsaidia ni ile hali ya kuwa commedian fulani ndiyo inayomsaidia. Kila anachoongea inakuwa anachekesha wenzie, na siku zinapita, kumbe mwenzao ndo maji ya shingo hivy.
aibu zaid imejitokeza pale matonya alipopanda kufanya show, baada ya kumaliza amepigwa maswali na mc kwa kidhungu akawa anajibu kwa kibongo, nimeshkuru mungu kwmb alikuwa anajibu relevantly.
Kwa mtizamo wangu, uwezekano wa peter kushinda ni narrow. Mimi nam-rate uwezekano wake ni 40%. Mganda anawatesa sana!
Guys and ladies, Davies anaperform jukwaani kwa wimbo wa Michale Jackson..Ni TBC live..
ofcoz lugha ni problem, hata matonya pale aliulizwa swali kwa kiingereza akajing'ata kwa kiswahili, ila hiisiyo ishu sana, cha msingi ni kuwa nyimbo wanazoimba ni nzuri hata kama lugha ni tatizo. Ndio maana wengine ni washabiki wa miziki ya kihindi maarufu kama nachi ilihali hatuelewi kila wanachoimba..