mwanaharakati m
Member
- Jan 9, 2011
- 48
- 0
CHADEMA watoka nje ya BUNGE tena kwa maslahi ya TAIFA, yakataa NDOA ya lazima na VYAMA `SALITI`......
CHADEMA watoka nje ya BUNGE tena kwa maslahi ya TAIFA, yakataa NDOA ya lazima na VYAMA `SALITI`......
kwa maslahi ya CHADEMA si ya taifa......
kwa maslahi ya CHADEMA si ya taifa......
kwa maslahi ya CHADEMA si ya taifa......
Here is the TRUTH, ni dalili za uroho wa madaraka!!!. nasikitika kwa kuwa hizo si dalili njema kwa chama chenye wasomi kam CDM tulichotarajia kisaidie kuunda timu imara ya upinzani bungeni. Dunia ya sasa is Teamwork that counts and that counts well.