SANGILA MKAMA
Member
- Feb 21, 2012
- 13
- 9
Polisi wameshindwa kazi, wana maslahi binafsi. Kauawa kamanda Liberatus Barlow wakawapata wauaji. Kauawa padre, wanatuchorea katuni na wanasema ati kukiona mtu anafanana na katuni hiyo tuwajulishe.
<br />Walipouliwa wananchi wa kawaida Makanisa, Misikiti na Watu muhimu katika jamii hawakuona kama ni jambo la kukemea, imewasogelea.... nikakumbuka haya <b><span style="font-family: Verdana"><font size="3"><font color="#000000">'Firstthey came for the Jews, I did not speak out because I was not a Jew. They camefor the communist, I did not speak out because I was not a communist. They camefor the trade unionists, I did not speak out because I was not a tradeunionist, when they came for me, no one was left to speak out (Martin Niemoller1984-1984, cited in the Raia Mwema of July 4-10, 2012 no 246 pg 11, by JohnsonMbwambo)'</font></font></span></b>
Police haven't failed. It's too early to accuse them of that.
ndo maana wewe ni taahira.
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema kuwa Watanzania wanapaswa kuelezwa hatua zilizochukuliwa kwa watuhumiwa waliohusika na matukio ya kudhuru viongozi wa kidini visiwani Zanzibar.
Kauli ya Pengo inakuja huku mapadre wawili wa Kanisa Katoliki wakiwa wameshambuliwa kwa risasi pamoja na Katibu wa Mufti wa Zanzibar naye akimwagiwa tindikali usoni na watu wasiofahamika.
Katibu huyo wa mufti alimwagiwa tindikali hiyo Novemba mwaka jana, huku Padre Ambrose Mkenda akijeruhiwa kwa risasi Desemba 26 mwaka huo, na mapema mwaka huu, Padre Evarist Mushi aliuawa kwa kupigwa risasi.
Pamoja na Jeshi la Polisi nchini kuunda kikosi maalumu kuchunguza matukio hayo, hakuna taarifa zilizotolewa kuhusu uchunguzi huo jambo ambalo linamtia shaka Kardinali Pengo kutokana na ukimya huo.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam wakati akitoa salamu za Pasaka, Kardinali Pengo alisema kuwa kuchoma makanisa, kubomoa na kuharibu nyumba za ibada ni hali isiyoridhisha.
Tumeishi Waislamu na Wakristo kwa muda mrefu bila kukwazana wala kugombana, napatwa na wasiwasi ikiwa hali hii imeanza kujitokeza sasa na watu wanadai ni kundi la wahuni, serikali haiwezi ikaepa majukumu yake, alisema.
Aliongeza kuwa ama wawe wahuni au watu wengine, serikali haiwezi kutawaliwa na wahuni.
Alisema kuwa wanahitaji kukutana na viongozi wa pande zote mbili ikiwemo serikali ili kupata ufumbuzi wa yaliyotokea.
Serikali haiwezi kukaa pembeni, pale tutakapokutana tunahitaji mawasiliano na majadiliano. Wanaofanya vitendo hivyo hawana jeshi, sasa ni muhimu kukutana wote na lazima watu wawe tayari kupokea ukweli na kusema ukweli, lakini pia kila upande uwe na mawazo kuwa upande wa pili una nia njema, amani haiji kwa mapambano wala mtutu wa bunduki, alisema.
Kardinali Pengo alisema kuwa serikali ina jukumu la kulinda amani na kuchukulia hatua mazungumzo yoyote yanayotolewa hasa yakiwa ya vitisho.
Kuhusu madai ya baadhi ya watu kupokea ujumbe wa vitisho kuhusiana na ibada ya Pasaka, alisema: Sitaacha kwenda kanisani kama kufa nife nikiwa kanisani hiyo ni juu ya serikali.
Nilisoma mahala kuwa kuna mchungaji wa assemblies church alitekwa na hajajulikana alipo.
Serikali yetu sikivu. Inasikiliza lakini kutenda haiwezi katu. INASIKILIZA just like everybody else. Ngoja sasa Pinda arudi na tamko, hakawii kulia machozi na kusisistiza naye ni mkatoliki na amesikitishwa mno mno!
Crass!
ndo maana wewe ni taahira.
Haiwezekani unapochunguza jambo basi au kuwatafuta watu kama wauaji kuweka hadharani taarifa za uchunguzi wako kama hujakamilisha kwa sababu unaowatafuta ama kuwachunguza na wao pia ndipo wanapanga mikakti yao ili wasitambulike ama kujulikana. Tuwe na subira ili tupate taarifa zilizo kamilika.
Police haven't failed. It's too early to accuse them of that.
Padri mushi aliuwawa na wauza unga wenziwe.Yule alikuwa imam, mkuu! Na aliuawa na wezi wake wa nazi!
sasa kama hawana lead ya kuwapelekea kwa hao wahalifu wanafanyaje?.Hata marekani imewachukua miaka 11 kumnasa bin laden.Na bado kuna matukio ya uhalifu hata FBI huwa wanafika kwenye deadend na kesi ina remain unsolved.It is nothing new.Mkuu, nakubaliana nawe ki-aina. Lakini angekuwa kauawa mkeo/mmeo au mtoto wako ungekuwa na ujasiri wa kuongea kama ulivyoongea? Kwamba kwa sababu wahalifu nao ni professionals basi tusubiri hata miaka ipite kabla hawajakamatwa?
hapo ndo ushangae yaani katika waliokufa yeye kaona mushi tu,kumbe huyu kadinari ako na matatizo eeah...PENGO aache kukurupuka! kukamata waalifu sio kazi yake! ni kazi ya polisi ambao wanautaratibu wao! lakini pia mbona hazungumzii watu wengine waliouwawa yeye anang'ang'ania Padri Mushi ambaye inahusishwa na biashara haramu.
The Archbishop of the Arch-Diocese of Dar es Salaam!!!!Rev genekai
Who is Cardinal Pengo? In terms of Roman Catholic Church LEADERSHIP in Tanzania?
I guess you didn't get my point. If it does not state/ stiulate, which one should i quote? If Its non existent, which number should i quote?Kindly quote which canon # in the CANON LAW