KIKWETE is a hopeless president ever!!
Not only hopeless!! He is an interested party in the ongoing turmoil!!
KIKWETE is a hopeless president ever!!
mawazo mazuri sana ya Pengo serikali iyafanyie kazi haraka kabla hayajapoa,tena kama kutakuwa na kongamano liwe LIVE hata kama litachukuwa mwezi mzima maana huu ndio utakuwa mwisho wa fitina zetusijawahi kukubaliana na pengo hata siku moja ila leo kwa mara ya kwanza nasema yes. kwenye red hapo ameongea point. watanzania tujua amani ya nchi yetu ipo mikononi kwa dini hizi mbili. wala sio ccm, chadema au cuf inayoweza kuleta amani. ni ukweli uliodhahiri kuwa hata uhai wa chadema kwa asilimia kubwa unategemea ukristo vile vile kwa cuf kinyume chake.
hatutaki bakwata peke yao wala wakatoliki peke yao. bali taasisi zote zihusishwe na sio kundi la watu bali watu wachache wenye uelewa. wajadili mambo kwa kuangalia kizazi cha leo na kijacho. kusiwepo na seggregation ila kila mwenye wazo ato akiwemo shekh Ilunga, atoe dukuduku zake zote hapo ili zipatiwe suluhisho, na baada ya hao kauli kama zake zifikie mwisho.
binafsi naona kama vile hili wazo limechelewa. lilitakiwa liwepi miaka 30 iliyopita. tumeona mengi ya mwembechai, zenji, buseresere na kwingeneko basi liwe funzo kwetu.
WELL SAID ASKOFU PENGO.
sijawahi kukubaliana na pengo hata siku moja ila leo kwa mara ya kwanza nasema yes. kwenye red hapo ameongea point. watanzania tujua amani ya nchi yetu ipo mikononi kwa dini hizi mbili. wala sio ccm, chadema au cuf inayoweza kuleta amani. ni ukweli uliodhahiri kuwa hata uhai wa chadema kwa asilimia kubwa unategemea ukristo vile vile kwa cuf kinyume chake.
hatutaki bakwata peke yao wala wakatoliki peke yao. bali taasisi zote zihusishwe na sio kundi la watu bali watu wachache wenye uelewa. wajadili mambo kwa kuangalia kizazi cha leo na kijacho. kusiwepo na seggregation ila kila mwenye wazo ato akiwemo shekh Ilunga, atoe dukuduku zake zote hapo ili zipatiwe suluhisho, na baada ya hao kauli kama zake zifikie mwisho.
binafsi naona kama vile hili wazo limechelewa. lilitakiwa liwepi miaka 30 iliyopita. tumeona mengi ya mwembechai, zenji, buseresere na kwingeneko basi liwe funzo kwetu.
WELL SAID ASKOFU PENGO.
Police haven't failed. It's too early to accuse them of that.
What you dont know, like a dark night, Waliohubiri kuwauwa mapadre, wakatengeneza kanda, hadi wakatangaza kwenye mitandao ya u tube hawakuwahi kukamatwa, ya Wilfred imewekwa siku moja tu kwenye mtandao na akakamatwa, Usitumie kichwa kufuga nywele bibie.
No, its too early to accused them on it , they awere of their responsibility to maintain peace and order in this country,
coming to the issue of prevent killing, its not the duty of Police only its my duty,your duty and our duty, Therefore every one has the responsibility of maintain peace and prevent the killing.
The issue is still under investigation of Police, is not easily to disclose to the public all about it.
Kama kweli Pengo ana nia ya dhati basi wakati huu angekuwa anatuambia kuwa ameishafanya juhudi hizi na zile ili wakutane na viongozi wa Waislamu badala ya kuja na kijitamko kama hiki.
Police failing in their duty, says Pengo
Wednesday, 27 March 2013 21:57
Cardinal Pengo called for the need to have an open dialogue between the Muslim and Christian communities, and take measures to prevent further incidents.
(on the red) I am not sure if you are part and parcel of the tanzanian citizen and if so you are part of the failed structure i.e police. You can not be serious! serial killings are continuing and some involving the ones you defended to "know their responsibility".No, its too early to accused them on it , they awere of their responsibility to maintain peace and order in this country,
coming to the issue of prevent killing, its not the duty of Police only its my duty,your duty and our duty, Therefore every one has the responsibility of maintain peace and prevent the killing.
The issue is still under investigation of Police, is not easily to disclose to the public all about it.
Police haven't failed. It's too early to accuse them of that.
A point of correction: PENGO IS IN NO WAY THE HEAD OF THE CATHOLIC CHURCH IN TANZANIA. Canon law does not stipulate that a person becomes the head of the church in a particular country by being created a CARDINAL.
We have HEADS of local churches (BISHOPS OF PARTICULAR DIOCESES) and the church's spokesperson in Tanzania who is THE PRESIDENT of Tanzania Episcopal Conference. Presently is Rt Rev Tarcisius Ngalalekumtwa the Bishop of the Catholic Diocese of Iringa.
Be well versed before you write awkwardly!