Mwimba mipasho, kama Wamachinga wa Mby tu wamemtoa kamasi yeye na vibaraka wake, tumshukuru Sugu Moto chini kwa kuuzima ule moto, je atamweza Msomi kama Pengo!Pengo kakasirika? kweli ukweli huwa unauma, ngoja ayaone yale ya ushoga ndio sijui atasema nini?
Kwanini asiliseme hilo kwenye kanisa la lutheran, pentekoste, anglikana, victor gospol church aende akaseme kanisa katoliki? Na ni kwanini akiambiwa awataje viongozi wa dini wanaouza madawa hawataji? HUYU ****** NI MNAFKI SN NIA YAKE ILIKUA KULICHAFUA KANISA KATOLIKI, KUMBUKA DR SLAA NI MKATOLIKI ANAANDAA MAZINGIRA YA KUMTENGENEZEA KESI.