Habari za week end wana JF?
Naomba kuuliza wana jamii hususan wa kike jee ya wapenzi wao wa mwanzo.
Kuna rafiki yangu ana mke na wameoana kwa miaka 6 bila ya matatizo yeyote yale.
Ila mwezi uliopita katika tembea tembea zao walikutana na mtu ambae alikuwa mpenzi
wa kwanza wa mkewe na ambao walikuwa wakikaa mtaa mmoja huko nyumbani. Kwa vile
hawa jamaa hawakuwa wakijuana wife aliwatambulisha lakini hakumwambia mumewe kuhusu
mahusiano yao waliokuwa nayo hadi alipofika nyumbani.
Tatizo limeanza hapa, kwanza wote wanaishi mji mmoja hapa, ingawa wife amemuhakikishia
mumewe kuwa huyu jamaa ni history lakini jamaa ana wasi wasi kuwa mkewe atashindwa
kujizuia pindipo pale mpenzi wake wa mwanzo akitaka kukumbusha mchezo wao. Rafiki yangu
anasisitiza kuwa mwanamke yeyote yule huwa hamsahau aliemuanza, na siku yeyote anaekutana
nae na akaomba mchezo basi demu huwa lainika na kukubali, as long as waliachana kwa usalama
na amani.
Nimejaribu kila njia kumhakikishia hayo sio kweli, na pia kumwambia amsikilize mkeo juu ya msimamo
wake, lakini yeye anasema ni siri iliyo wazi kuwa hilo ni kweli kabisa na ndio hata kuna nyimbo inayokwenda
kama hivi:-
pendo ni pendo la kwanza, linalokupa taalima
ndio linalokufunza maji usiite mma
Jee anayoyasema mwenzangu ni kweli au ni maneno ya mitaani? mimi nahisi anaweza kijiharibia ndoa yake kwa
maneno ya mitaani tu.
Mnasemaje wana JF?
Naomba kuuliza wana jamii hususan wa kike jee ya wapenzi wao wa mwanzo.
Kuna rafiki yangu ana mke na wameoana kwa miaka 6 bila ya matatizo yeyote yale.
Ila mwezi uliopita katika tembea tembea zao walikutana na mtu ambae alikuwa mpenzi
wa kwanza wa mkewe na ambao walikuwa wakikaa mtaa mmoja huko nyumbani. Kwa vile
hawa jamaa hawakuwa wakijuana wife aliwatambulisha lakini hakumwambia mumewe kuhusu
mahusiano yao waliokuwa nayo hadi alipofika nyumbani.
Tatizo limeanza hapa, kwanza wote wanaishi mji mmoja hapa, ingawa wife amemuhakikishia
mumewe kuwa huyu jamaa ni history lakini jamaa ana wasi wasi kuwa mkewe atashindwa
kujizuia pindipo pale mpenzi wake wa mwanzo akitaka kukumbusha mchezo wao. Rafiki yangu
anasisitiza kuwa mwanamke yeyote yule huwa hamsahau aliemuanza, na siku yeyote anaekutana
nae na akaomba mchezo basi demu huwa lainika na kukubali, as long as waliachana kwa usalama
na amani.
Nimejaribu kila njia kumhakikishia hayo sio kweli, na pia kumwambia amsikilize mkeo juu ya msimamo
wake, lakini yeye anasema ni siri iliyo wazi kuwa hilo ni kweli kabisa na ndio hata kuna nyimbo inayokwenda
kama hivi:-
pendo ni pendo la kwanza, linalokupa taalima
ndio linalokufunza maji usiite mma
Jee anayoyasema mwenzangu ni kweli au ni maneno ya mitaani? mimi nahisi anaweza kijiharibia ndoa yake kwa
maneno ya mitaani tu.
Mnasemaje wana JF?