NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Waziri wamambo ya ndani anatakiwa kuwajibika kama mawaziri wengine waliwajibishwa kwa udhaifu katika wizara zao.
Hii wizara ya mambo ya ndani imeonyesha udhaifu katika ulinzi wa raia na kupelekea raia tuliowengi kuwa na hofu kufuatia kitendo cha kinyama alichotendewa dr ndani ya nchi yetu yenye amani tele kama tunavyojiita.
Si semi wizara inahusika na unyama huu bali wameonyesha uzembe na udhaifu ambao hauhitaji ushahidi zaidi.
Hii wizara ya mambo ya ndani imeonyesha udhaifu katika ulinzi wa raia na kupelekea raia tuliowengi kuwa na hofu kufuatia kitendo cha kinyama alichotendewa dr ndani ya nchi yetu yenye amani tele kama tunavyojiita.
Si semi wizara inahusika na unyama huu bali wameonyesha uzembe na udhaifu ambao hauhitaji ushahidi zaidi.