johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,136
Kama tujuavyo kwa sasa hatuna Viwanja vya Jangwani wala Mwembeyanga na pale Kawe ni padogo
Hivyo napendekezo kwa Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika ikimpendeza mkutano wa kwanza Jijini Dar es salaam ufanyike Uwanja wa Mkapa aka Lupaso
Heri ya mwaka mpya!
Hivyo napendekezo kwa Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika ikimpendeza mkutano wa kwanza Jijini Dar es salaam ufanyike Uwanja wa Mkapa aka Lupaso
Heri ya mwaka mpya!