Hujasikia alisema hawa hawaguswi kulingana na katiba Yetu instead watapelekwa waliohusika kwa njia moja au nyingineAkimpeleka mkapa mahakaman na mkwele ntajua kwel ni chaguo LA Mungu
DPPNani atamshtaki nani? Je weweza kujifungulia mashtaka ya jinai wewe mwenyewe na washirika wako, halafu wenyewe muwe walalamikaji pia mashahidi?
Atafungwa tu kengereNani amfunge paka kengere
HehehehehePale kwenye mvua ya Thailand Mamvi alikuwa ametudharau sana wa Tz, bora alidondoshwa kabla hajapiga kabisa, sababu ile ilikuwa ni zaidi ya upigaji.
Nimecheka Sana saaaanaPale kwenye mvua ya Thailand Mamvi alikuwa ametudharau sana wa Tz, bora alidondoshwa kabla hajapiga kabisa, sababu ile ilikuwa ni zaidi ya upigaji.
Nani atamshtaki nani? Je weweza kujifungulia mashtaka ya jinai wewe mwenyewe na washirika wako, halafu wenyewe muwe walalamikaji pia mashahidi?
Mimi naomba zote ziachwe kwanza , ianze kesi ya Richmond .Yes tusikwepe kwepe kesi za kianzio zipo
Hapana kwanin?Mimi naomba zote ziachwe kwanza , ianze kesi ya Richmond .
Kwelimkuu,
hilo kwa tz, sitoshangaa kutokea.
lile la lugumi walitumia kamati teule kumsafisha mtuhumiwa...
ivyoivyo hiyo mahakama ya mafisadi itatumika kuwasafisha wengine na kuumiza wengine (wapinzani)...
rejea hukumu, aliyopata mramba hadi kuwa na kifungo cha kufanya kazi za kijamii...
Kwani hapo ana kesi ngapi zitakazomuhusu directMasikini Lowasaaaaa!