Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Mwelekeo wa hali ya uchaguzi unasikitisha kidogo. Matukio ya vurugu za hapa na pale unanifanya nitamani kuwa wagombea wa Urais wa kianzia na Kikwete wakutane ili kulipa taifa picha ya umoja katika tofauti. Watoe kauli ya pamoja ya kuwakata wanachama wao na mashabiki kutotumia nguvu na wale wenye vikundi vya ulinzi wawatulize makada wao. Vinginevyo, tujiandae kulipa gharama kubwa zaidi. Wafanye mapema