fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,025
Teh teh teh..... hii imenichekesha.Jipu soundo....wana tumbuatumbua
Teh teh teh..... hii imenichekesha.Jipu soundo....wana tumbuatumbua
hii ndo raha ya jfJipu soundo....wana tumbuatumbua
Guys,
Naomba mnipendekezee jina zuri la band ya Muziki ambayo itakuwa ikitumbuiza kwenye 5 Star Hotels tu. Wanabendi ni wazungu na waafrika wa mataifa ya nje na wabongo kidogo...mimi nikiwa mkurugenzi. Naomba kwa mwenye idea ya jina ambalo halitakuwa la kibaguzi in terms of race, diveristy na marketing stunts.
Regards