sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,846
Sasa unadhani atakubali nimchungulie hivihivi.... ..?Hapana mbona sio kujishusha thamani wewe si unataka tu kukichungulia kipoje....?
Sasa unadhani atakubali nimchungulie hivihivi.... ..?Hapana mbona sio kujishusha thamani wewe si unataka tu kukichungulia kipoje....?
Haha.. sasa hapo ndio utumie ule ujanja wakoSasa unadhani atakubali nimchungulie hivihivi.... ..?
Kama una ngwengwe poa tu.Nasikia wake wa matajiri hugawa bure ili kulipiza kisasi, maana waume zao ni wagongaji sana kwa ajili ya pesa zao!
Karibuni wake wa matajiri mtujuze wenyewe!
Hapa mie ni kilaza mwenzako ........... ..Haha.. sasa hapo ndio utumie ule ujanja wako
sio ngumu mbona ukiamua unawezaHapa mie ni kilaza mwenzako ........... ..
mimi nahisi ni katiWewe ni wa tajiri au wa kati au wa MASKINI?
Wake za watu wa kati naona huwa watulivu na wako sambamba na waume zao kuendeleza familia! Tatizo kubwa ni wake wa MASKINI na wale wa matajiri!mimi nahisi ni kati
Wake za watu wa kati naona huwa watulivu na wako sambamba na waume zao kuendeleza familia! Tatizo kubwa ni wake wa MASKINI na wale wa matajiri!
Ah wapi.........kwa hili sidanganyikisio ngumu mbona ukiamua unaweza
looh...au nikupe offer mimiAh wapi.........kwa hili sidanganyiki
umenenaBinadamu ni kiumbe wa ajabu sana ukimpa pesa atasema mapenzi sipati ukimpa mapenzi anataka pesa na kuna wengine hata uwape vyote still haridhiki,niwachache sana wanaosema navumilia mungu atanipa chenye kheir na mimi...wengi wanaishia kuchukuliwa na Shamba boy ,driver wao najiuliza why mpaka ifikie hapo jibu utasikia hana mda na mimi mara sijui yeye mbona ame cheat why not me? ilimradi tuombe stara lakini inatisha....
hahahahaaaahii kaliInaonesha wengi wenu ni masikini mmekuja hapa kupeana moyo, we jidangamye na story za mtaani....
ukubali ukatae,huo ndio ukweli.Kuna mke wa Afisa mkubwa sana na mtu tajiri lakini anagongwa na kajamaa ka boda boda tu tu na amedata ile mbaya.Inaonesha wengi wenu ni masikini mmekuja hapa kupeana moyo, we jidangamye na story za mtaani....
Ili ukamchungulie.................?looh...au nikupe offer mimi
Nop...unichungulie kama hutajaliIli ukamchungulie.................?
Hapo ndukiiiiiiii......asante kwa offer........Nop...unichungulie kama hutajali
Hahahaha....Hapo ndukiiiiiiii......asante kwa offer........
Tena unakuta anakugegedea ni dereva wa boda au mang muuza dukaKautafiti yakinifu nilichofanya ni kwamba wenye pesa pia ndo wanaongozwa kwa kugongewa wake zao.
Ila sijajua nini hasa kinapelekea wanawake watoe nje ukiwa maskini utagongewa na mwenye nazo ukiwa tajiri utagongewa na matajiri wenzio au shamba boy wako.
Aisee wadau embu tuchambue hii kitu.