mkatangara
Member
- Feb 28, 2012
- 37
- 5
Sijafurahishwa na taarifa ya huyu mtu anayeitwa Paulo Makonda kukasimisha nafasi yake kwa makamu mwenyekiti tahlso bwn. Abubakar Mohamed toka Zanzibar huku yeye akijikita na siasa za kuwania kiti cha umakamu uenyekiti UVCCM Taifa, na kwamba eti akishinda nafasi yake hiyo ya huko UVCCM ndio ataachia ngazi nafasi yake hiyo na kwamba akishindwa atarudi kuendelea na nafasi yake.
Mi nadhani kama katiba ya tahiliso haijatoa maelezo ya situation kama hii ilivyo nadhani ingekuwa busara kama Paulo Makonda aiachie hiyo nafasi ya uenyekiti wa tahiliso na uchaguzi ufanyike nafasi hiyo ijazwe na yeye kama amechagua kufanya siasa auende huko kwenye siasa zake za UVCCM akishinda ni kheri yake akishindwa asirudi tena tahiliso.
Mi nadhani kama katiba ya tahiliso haijatoa maelezo ya situation kama hii ilivyo nadhani ingekuwa busara kama Paulo Makonda aiachie hiyo nafasi ya uenyekiti wa tahiliso na uchaguzi ufanyike nafasi hiyo ijazwe na yeye kama amechagua kufanya siasa auende huko kwenye siasa zake za UVCCM akishinda ni kheri yake akishindwa asirudi tena tahiliso.