Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Mwogope sana mtu anaekuambia mimi sili rushwa
Ukisikia hivyo basi ujue ndio mlafi haswa tena atauwa kwa tamaa
Tumeona wengi maofisini, ukiingia tu kakunja uso kukuonesha hapa kazi tu kumbe hapa mlo tu
 
Huyu ni mtu wa kubebwa hawezi kujisimamia mwenyewe. Alijisahau na kuamua kujiuzulu (RPC DSM)na kuchukua form ya ubunge hapo ndipo alipotakiwa kujua kuwa yeye ni mtu wa kubebwa. Makonda kama anaweza uongozi agombee ubunge apate uongozi wa kuchaguliwa na sio kuteuliwa. Hakuna kiongozi hapo na ajichunge maana kupelekwa Arusha ni mtego lakini yeye anajisahau na kujiona kafika.
Mtego Gani ? Kwani Arusha siyo Tanzania ?
 
Watu wa TISS ni kwanini mnashindwa kumwamba Boss wenu Rais Samia kuwa huyu mtu Paul Makonda hafai na kama anampenda sana basi amtupe tu huko Ubalozini akapumzike? Nimeangalia Video Clip yake akiwa anajitambulisha huko Mkoani Arusha alikotupwa baada ya Kufeli katika Uenezi nikagundua kuwa Kisaikolojia ana tatizo Kubwa mno la Kiakili na huenda Yeye hajijui na hata Wanamzunguka nao hawajui.

Makonda hakuna Mkoa ambao unatakiwa uwe nao makini na uende nao kwa Step kama huo wa Arusha ulipo. GENTAMYCINE pamoja na Usela Nnya wangu wote, Ujanja na Ubabe wa Kimusoma (Mkoani Mara Kwetu) nikienda huko huwa nakuwa Mpole hutoamini kwani nimeishi huo Mkoa, naujua na Watu wa huko Kiasili huwa HAWABIPIWI na UKIWABIPU tu haraka sana wanakupigia.

Ukiwa Mwenezi nilikuambia na Uzi upo kuwa hutodumu hapo hata ndani ya Miezi Sita na kama Kawaida yao au Kawaida yenu baadhi ya watu hapa JamiiForums yakanipuuza GENTAMYCINE lakini kile kile nilichokitabiri juu ya Paul Makonda kimetokea.

Haya Makonda na leo tena nakwambia kuwa hata huko Arusha ulikopelekwa ni Kimkakat zaidi ili Watu wamalize Shughuli mapema kwani tayari umeshaonekana ni tatizo halafu umeshajulikana kuwa kuna Mtu huwa unajifanya Kumpenda mbele za Mic za Media ila ukikaa Vijiweni Kwako na Washkaji pale Mbezi Beach na Masaki huwa Unamkashifu na Unamdharau hakuna mfano na ukimsifia Baba yako wa Hiari aliyemaliza safari yake 2021.
Kwani ana uspesho gani ambao ni lazima apewa hata huo Ubalozi?

Kumbe Huwa anamponda SSH ila majukwaani anajifanya anamkubali si ndio?

Mwisho Arusha Haina upekee wowote Wala watu wake hawana jipya ni upunguani wako tuu usio na maana umeandika,Bora hata ungesema Mbeya Kwa watata huko Kwa walevi na wavuta bangi na Mashoga ni sifuri.
 
Huyu ni mtu wa kubebwa hawezi kujisimamia mwenyewe. Alijisahau na kuamua kujiuzulu (RPC DSM)na kuchukua form ya ubunge hapo ndipo alipotakiwa kujua kuwa yeye ni mtu wa kubebwa. Makonda kama anaweza uongozi agombee ubunge apate uongozi wa kuchaguliwa na sio kuteuliwa. Hakuna kiongozi hapo na ajichunge maana kupelekwa Arusha ni mtego lakini yeye anajisahau na kujiona kafika.
Acha wivu
 
Watu wa TISS ni kwanini mnashindwa kumwamba Boss wenu Rais Samia kuwa huyu mtu Paul Makonda hafai na kama anampenda sana basi amtupe tu huko Ubalozini akapumzike? Nimeangalia Video Clip yake akiwa anajitambulisha huko Mkoani Arusha alikotupwa baada ya Kufeli katika Uenezi nikagundua kuwa Kisaikolojia ana tatizo Kubwa mno la Kiakili na huenda Yeye hajijui na hata Wanamzunguka nao hawajui.

Makonda hakuna Mkoa ambao unatakiwa uwe nao makini na uende nao kwa Step kama huo wa Arusha ulipo. GENTAMYCINE pamoja na Usela Nnya wangu wote, Ujanja na Ubabe wa Kimusoma (Mkoani Mara Kwetu) nikienda huko huwa nakuwa Mpole hutoamini kwani nimeishi huo Mkoa, naujua na Watu wa huko Kiasili huwa HAWABIPIWI na UKIWABIPU tu haraka sana wanakupigia.

Ukiwa Mwenezi nilikuambia na Uzi upo kuwa hutodumu hapo hata ndani ya Miezi Sita na kama Kawaida yao au Kawaida yenu baadhi ya watu hapa JamiiForums yakanipuuza GENTAMYCINE lakini kile kile nilichokitabiri juu ya Paul Makonda kimetokea.

Haya Makonda na leo tena nakwambia kuwa hata huko Arusha ulikopelekwa ni Kimkakat zaidi ili Watu wamalize Shughuli mapema kwani tayari umeshaonekana ni tatizo halafu umeshajulikana kuwa kuna Mtu huwa unajifanya Kumpenda mbele za Mic za Media ila ukikaa Vijiweni Kwako na Washkaji pale Mbezi Beach na Masaki huwa Unamkashifu na Unamdharau hakuna mfano na ukimsifia Baba yako wa Hiari aliyemaliza safari yake 2021.
Balozi ni lazima akubaliwe na nchi unakompeleka.

Sasa Kwa tabia za Makonda nchi nyingi zinazojitambuwa hawezi kukubaliwa itakuwa ni aibu Kwa Rais unateuwa mtu, vetting ya foreign country inamkataa ni fedhea kubwa.

Tatizo wanalo hao wanaomfuga ndio maana mama sasa ameshaanza kuyakoga matusi, ni matusi anayataka mwenyewe Kwa kukumbatia watu washenzi kama huyo Makonda.
 
Watu wa TISS ni kwanini mnashindwa kumwamba Boss wenu Rais Samia kuwa huyu mtu Paul Makonda hafai na kama anampenda sana basi amtupe tu huko Ubalozini akapumzike? Nimeangalia Video Clip yake akiwa anajitambulisha huko Mkoani Arusha alikotupwa baada ya Kufeli katika Uenezi nikagundua kuwa Kisaikolojia ana tatizo Kubwa mno la Kiakili na huenda Yeye hajijui na hata Wanamzunguka nao hawajui.

Makonda hakuna Mkoa ambao unatakiwa uwe nao makini na uende nao kwa Step kama huo wa Arusha ulipo. GENTAMYCINE pamoja na Usela Nnya wangu wote, Ujanja na Ubabe wa Kimusoma (Mkoani Mara Kwetu) nikienda huko huwa nakuwa Mpole hutoamini kwani nimeishi huo Mkoa, naujua na Watu wa huko Kiasili huwa HAWABIPIWI na UKIWABIPU tu haraka sana wanakupigia.

Ukiwa Mwenezi nilikuambia na Uzi upo kuwa hutodumu hapo hata ndani ya Miezi Sita na kama Kawaida yao au Kawaida yenu baadhi ya watu hapa JamiiForums yakanipuuza GENTAMYCINE lakini kile kile nilichokitabiri juu ya Paul Makonda kimetokea.

Haya Makonda na leo tena nakwambia kuwa hata huko Arusha ulikopelekwa ni Kimkakat zaidi ili Watu wamalize Shughuli mapema kwani tayari umeshaonekana ni tatizo halafu umeshajulikana kuwa kuna Mtu huwa unajifanya Kumpenda mbele za Mic za Media ila ukikaa Vijiweni Kwako na Washkaji pale Mbezi Beach na Masaki huwa Unamkashifu na Unamdharau hakuna mfano na ukimsifia Baba yako wa Hiari aliyemaliza safari yake 2021.
Unamkanya wewe kama nani?
 
Watu wa TISS ni kwanini mnashindwa kumwamba Boss wenu Rais Samia kuwa huyu mtu Paul Makonda hafai na kama anampenda sana basi amtupe tu huko Ubalozini akapumzike? Nimeangalia Video Clip yake akiwa anajitambulisha huko Mkoani Arusha alikotupwa baada ya Kufeli katika Uenezi nikagundua kuwa Kisaikolojia ana tatizo Kubwa mno la Kiakili na huenda Yeye hajijui na hata Wanamzunguka nao hawajui.

Makonda hakuna Mkoa ambao unatakiwa uwe nao makini na uende nao kwa Step kama huo wa Arusha ulipo. GENTAMYCINE pamoja na Usela Nnya wangu wote, Ujanja na Ubabe wa Kimusoma (Mkoani Mara Kwetu) nikienda huko huwa nakuwa Mpole hutoamini kwani nimeishi huo Mkoa, naujua na Watu wa huko Kiasili huwa HAWABIPIWI na UKIWABIPU tu haraka sana wanakupigia.

Ukiwa Mwenezi nilikuambia na Uzi upo kuwa hutodumu hapo hata ndani ya Miezi Sita na kama Kawaida yao au Kawaida yenu baadhi ya watu hapa JamiiForums yakanipuuza GENTAMYCINE lakini kile kile nilichokitabiri juu ya Paul Makonda kimetokea.

Haya Makonda na leo tena nakwambia kuwa hata huko Arusha ulikopelekwa ni Kimkakat zaidi ili Watu wamalize Shughuli mapema kwani tayari umeshaonekana ni tatizo halafu umeshajulikana kuwa kuna Mtu huwa unajifanya Kumpenda mbele za Mic za Media ila ukikaa Vijiweni Kwako na Washkaji pale Mbezi Beach na Masaki huwa Unamkashifu na Unamdharau hakuna mfano na ukimsifia Baba yako wa Hiari aliyemaliza safari yake 2021.
Ubalozini ? Ataingia na punda au msululu wa magari kama muvi za kihindi. Labda ubalozi hukoo Togo
 
Mtu kama hajawai fika Arusha anaweza akadhani ni sehemu kubwa na ya kipekee kweli au akadhani sijui Arusha kuna jambo gani jipya kumbe hakuna ni ushamba tuu hakuna lolote😂😂😂😂😂
Fact mkuu
 
Ninachofahamu kuhusiana na Arusha watu wa kule ni wastaarabu ukionyesha ustaarabu. Ni wabaya ukionyesha ubaya. Ni watu wa haki ukionyesha haki.

Hawanaga Utamaduni wa kumuogopa mtu hata akiwa kiongozi.
Shida ya kule ni kwamba kila mtu anaijua hela, atapata shida kama atatibua mifumo ya watu kujipigia hela zao ila anyways, awe makini.
 
Balozi ni lazima akubaliwe na nchi unakompeleka.

Sasa Kwa tabia za Makonda nchi nyingi zinazojitambuwa hawezi kukubaliwa itakuwa ni aibu Kwa Rais unateuwa mtu, vetting ya foreign country inamkataa ni fedhea kubwa.

Tatizo wanalo hao wanaomfuga ndio maana mama sasa ameshaanza kuyakoga matusi, ni matusi anayataka mwenyewe Kwa kukumbatia watu washenzi kama huyo Makonda.
Usisahau CV
 
Hiki ulichoandika kina uhalisia mwingi, ingawa upokeaji utategemea na aina ya akili ya mpokeaji na uwezo wake wa kutafsiri mambo.
Huyo Makonda anaenda kutumika kama onyo kwa wengine wote.
Kuwa makini unapoaminishwa kwamba hakuna kama wewe, na kwamba hauna mbadala. Hata jiwe ili lihamishiwe kwenye makao ya kudumu walianza kuliamishi kuwa lenyewe ni kubwa na gumu sana, wakalisifia mno, mpaka kule kwenye ukumbi wa machifu , wakasgizwa uangaliwe utaratibu machifu wafanye taratibu za kimila ili jiwe lijengewe kabisa ili lisihamishwe kwenye lile eneo lilipokuwepo.
Inawezekana lakini mbona Mrisho Gambo alitembea nao vizuri maana sioni tofauti kubwa kati ya Makonda na Gambo(kama itakuepo ni kidogo sana)
 
Watu wa TISS ni kwanini mnashindwa kumwamba Boss wenu Rais Samia kuwa huyu mtu Paul Makonda hafai na kama anampenda sana basi amtupe tu huko Ubalozini akapumzike? Nimeangalia Video Clip yake akiwa anajitambulisha huko Mkoani Arusha alikotupwa baada ya Kufeli katika Uenezi nikagundua kuwa Kisaikolojia ana tatizo Kubwa mno la Kiakili na huenda Yeye hajijui na hata Wanamzunguka nao hawajui.

Makonda hakuna Mkoa ambao unatakiwa uwe nao makini na uende nao kwa Step kama huo wa Arusha ulipo. GENTAMYCINE pamoja na Usela Nnya wangu wote, Ujanja na Ubabe wa Kimusoma (Mkoani Mara Kwetu) nikienda huko huwa nakuwa Mpole hutoamini kwani nimeishi huo Mkoa, naujua na Watu wa huko Kiasili huwa HAWABIPIWI na UKIWABIPU tu haraka sana wanakupigia.

Ukiwa Mwenezi nilikuambia na Uzi upo kuwa hutodumu hapo hata ndani ya Miezi Sita na kama Kawaida yao au Kawaida yenu baadhi ya watu hapa JamiiForums yakanipuuza GENTAMYCINE lakini kile kile nilichokitabiri juu ya Paul Makonda kimetokea.

Haya Makonda na leo tena nakwambia kuwa hata huko Arusha ulikopelekwa ni Kimkakat zaidi ili Watu wamalize Shughuli mapema kwani tayari umeshaonekana ni tatizo halafu umeshajulikana kuwa kuna Mtu huwa unajifanya Kumpenda mbele za Mic za Media ila ukikaa Vijiweni Kwako na Washkaji pale Mbezi Beach na Masaki huwa Unamkashifu na Unamdharau hakuna mfano na ukimsifia Baba yako wa Hiari aliyemaliza safari yake 2021.
Lema amekutuma umsemehe

Tulieni bashite ainyooshe arusha
 
Back
Top Bottom