Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,866
- 46,709
Mwogope sana mtu anaekuambia mimi sili rushwa
Ukisikia hivyo basi ujue ndio mlafi haswa tena atauwa kwa tamaa
Tumeona wengi maofisini, ukiingia tu kakunja uso kukuonesha hapa kazi tu kumbe hapa mlo tu
Ukisikia hivyo basi ujue ndio mlafi haswa tena atauwa kwa tamaa
Tumeona wengi maofisini, ukiingia tu kakunja uso kukuonesha hapa kazi tu kumbe hapa mlo tu