Cheza na Watu wote ila siyo wa R Chuga.Alidumu miezi mitano na wiki moja.
Arusha wote ni wajanja ngoja tuone
Nawe pia Ssebo.Eid Mubarak sheikh Genta.
Moscow Russia.Ubalozi upi ni wa kupumzika?
Mpelekeni Palestina atafanya kazi vzr snUbalozi upi ni wa kupumzika?
Russia hakuna jambo kuhusu TZ kwakua hatufungamani na upande wwtMoscow Russia.
Huyu ni mtu wa kubebwa hawezi kujisimamia mwenyewe. Alijisahau na kuamua kujiuzulu (RPC DSM)na kuchukua form ya ubunge hapo ndipo alipotakiwa kujua kuwa yeye ni mtu wa kubebwa. Makonda kama anaweza uongozi agombee ubunge apate uongozi wa kuchaguliwa na sio kuteuliwa. Hakuna kiongozi hapo na ajichunge maana kupelekwa Arusha ni mtego lakini yeye anajisahau na kujiona kafika.Watu wa TISS ni kwanini mnashindwa kumwamba Boss wenu Rais Samia kuwa huyu mtu Paul Makonda hafai na kama anampenda sana basi amtupe tu huko Ubalozini akapumzike? Nimeangalia Video Clip yake akiwa anajitambulisha huko Mkoani Arusha alikotupwa baada ya Kufeli katika Uenezi nikagundua kuwa Kisaikolojia ana tatizo Kubwa mno la Kiakili na huenda Yeye hajijui na hata Wanamzunguka nao hawajui.
Makonda hakuna Mkoa ambao unatakiwa uwe nao makini na uende nao kwa Step kama huo wa Arusha ulipo. GENTAMYCINE pamoja na Usela Nnya wangu wote, Ujanja na Ubabe wa Kimusoma (Mkoani Mara Kwetu) nikienda huko huwa nakuwa Mpole hutoamini kwani nimeishi huo Mkoa, naujua na Watu wa huko Kiasili huwa HAWABIPIWI na UKIWABIPU tu haraka sana wanakupigia.
Ukiwa Mwenezi nilikuambia na Uzi upo kuwa hutodumu hapo hata ndani ya Miezi Sita na kama Kawaida yao au Kawaida yenu baadhi ya watu hapa JamiiForums yakanipuuza GENTAMYCINE lakini kile kile nilichokitabiri juu ya Paul Makonda kimetokea.
Haya Makonda na leo tena nakwambia kuwa hata huko Arusha ulikopelekwa ni Kimkakat zaidi ili Watu wamalize Shughuli mapema kwani tayari umeshaonekana ni tatizo halafu umeshajulikana kuwa kuna Mtu huwa unajifanya Kumpenda mbele za Mic za Media ila ukikaa Vijiweni Kwako na Washkaji pale Mbezi Beach na Masaki huwa Unamkashifu na Unamdharau hakuna mfano na ukimsifia Baba yako wa Hiari aliyemaliza safari yake 2021.
Asalaam aleykum Genta.....huyo wampeleke Iraq au Lebanon akawe balozi.....Watu wa TISS ni kwanini mnashindwa kumwamba Boss wenu Rais Samia kuwa huyu mtu Paul Makonda hafai na kama anampenda sana basi amtupe tu huko Ubalozini akapumzike? Nimeangalia Video Clip yake akiwa anajitambulisha huko Mkoani Arusha alikotupwa baada ya Kufeli katika Uenezi nikagundua kuwa Kisaikolojia ana tatizo Kubwa mno la Kiakili na huenda Yeye hajijui na hata Wanamzunguka nao hawajui.
Makonda hakuna Mkoa ambao unatakiwa uwe nao makini na uende nao kwa Step kama huo wa Arusha ulipo. GENTAMYCINE pamoja na Usela Nnya wangu wote, Ujanja na Ubabe wa Kimusoma (Mkoani Mara Kwetu) nikienda huko huwa nakuwa Mpole hutoamini kwani nimeishi huo Mkoa, naujua na Watu wa huko Kiasili huwa HAWABIPIWI na UKIWABIPU tu haraka sana wanakupigia.
Ukiwa Mwenezi nilikuambia na Uzi upo kuwa hutodumu hapo hata ndani ya Miezi Sita na kama Kawaida yao au Kawaida yenu baadhi ya watu hapa JamiiForums yakanipuuza GENTAMYCINE lakini kile kile nilichokitabiri juu ya Paul Makonda kimetokea.
Haya Makonda na leo tena nakwambia kuwa hata huko Arusha ulikopelekwa ni Kimkakat zaidi ili Watu wamalize Shughuli mapema kwani tayari umeshaonekana ni tatizo halafu umeshajulikana kuwa kuna Mtu huwa unajifanya Kumpenda mbele za Mic za Media ila ukikaa Vijiweni Kwako na Washkaji pale Mbezi Beach na Masaki huwa Unamkashifu na Unamdharau hakuna mfano na ukimsifia Baba yako wa Hiari aliyemaliza safari yake 2021.
Nakuja baadae na Hasira yangu juu ya Tajiri Kibyongo ambaye Kutwa anatufanya wana Simba wote ni Wapumbavu ( Mapopoma ) na Wajinga ( Mazozola )Asalaam aleykum Genta.....huyo wampeleke Iraq au Lebanon akawe balozi.....
Ila mkuu nakuomba ukuje kwa jukwaa la sports......Simba yetu haieleweki kama umeme wa tanesco!!!!!!
Hiki ulichoandika kina uhalisia mwingi, ingawa upokeaji utategemea na aina ya akili ya mpokeaji na uwezo wake wa kutafsiri mambo.Watu wa TISS ni kwanini mnashindwa kumwamba Boss wenu Rais Samia kuwa huyu mtu Paul Makonda hafai na kama anampenda sana basi amtupe tu huko Ubalozini akapumzike? Nimeangalia Video Clip yake akiwa anajitambulisha huko Mkoani Arusha alikotupwa baada ya Kufeli katika Uenezi nikagundua kuwa Kisaikolojia ana tatizo Kubwa mno la Kiakili na huenda Yeye hajijui na hata Wanamzunguka nao hawajui.
Makonda hakuna Mkoa ambao unatakiwa uwe nao makini na uende nao kwa Step kama huo wa Arusha ulipo. GENTAMYCINE pamoja na Usela Nnya wangu wote, Ujanja na Ubabe wa Kimusoma (Mkoani Mara Kwetu) nikienda huko huwa nakuwa Mpole hutoamini kwani nimeishi huo Mkoa, naujua na Watu wa huko Kiasili huwa HAWABIPIWI na UKIWABIPU tu haraka sana wanakupigia.
Ukiwa Mwenezi nilikuambia na Uzi upo kuwa hutodumu hapo hata ndani ya Miezi Sita na kama Kawaida yao au Kawaida yenu baadhi ya watu hapa JamiiForums yakanipuuza GENTAMYCINE lakini kile kile nilichokitabiri juu ya Paul Makonda kimetokea.
Haya Makonda na leo tena nakwambia kuwa hata huko Arusha ulikopelekwa ni Kimkakat zaidi ili Watu wamalize Shughuli mapema kwani tayari umeshaonekana ni tatizo halafu umeshajulikana kuwa kuna Mtu huwa unajifanya Kumpenda mbele za Mic za Media ila ukikaa Vijiweni Kwako na Washkaji pale Mbezi Beach na Masaki huwa Unamkashifu na Unamdharau hakuna mfano na ukimsifia Baba yako wa Hiari aliyemaliza safari yake 2021.
The guy is very Stupid and unfortunately he doesn't know it.Hiki ulichoandika kina uhalisia mwingi, ingawa upokeaji utategemea na aina ya akili ya mpokeaji na uwezo wake wa kutafsiri mambo.
Huyo Makonda anaenda kutumika kama onyo kwa wengine wote.
Kuwa makini unapoaminishwa kwamba hakuna kama wewe, na kwamba hauna mbadala. Hata jiwe ili lihamishiwe kwenye makao ya kudumu walianza kuliamishi kuwa lenyewe ni kubwa na gumu sana, wakalisifia mno, mpaka kule kwenye ukumbi wa machifu , wakasgizwa uangaliwe utaratibu machifu wafanye taratibu za kimila ili jiwe lijengewe kabisa ili lisihamishwe kwenye lile eneo lilipokuwepo.
Unatakiwa uiweke Morogoro kwenye list, huo si mkoa wa kucheza nao kwenye siasaCheza na Watu wote ila siyo wa R Chuga.
Kwani Arusha Kuna nini pale. Acha vitisho wewe. Huo usera ndezi wa Arusha ndio umtishe mteule wa Rais ! Arusha pa kawaida sana tu.Watu wa TISS ni kwanini mnashindwa kumwamba Boss wenu Rais Samia kuwa huyu mtu Paul Makonda hafai na kama anampenda sana basi amtupe tu huko Ubalozini akapumzike? Nimeangalia Video Clip yake akiwa anajitambulisha huko Mkoani Arusha alikotupwa baada ya Kufeli katika Uenezi nikagundua kuwa Kisaikolojia ana tatizo Kubwa mno la Kiakili na huenda Yeye hajijui na hata Wanamzunguka nao hawajui.
Makonda hakuna Mkoa ambao unatakiwa uwe nao makini na uende nao kwa Step kama huo wa Arusha ulipo. GENTAMYCINE pamoja na Usela Nnya wangu wote, Ujanja na Ubabe wa Kimusoma (Mkoani Mara Kwetu) nikienda huko huwa nakuwa Mpole hutoamini kwani nimeishi huo Mkoa, naujua na Watu wa huko Kiasili huwa HAWABIPIWI na UKIWABIPU tu haraka sana wanakupigia.
Ukiwa Mwenezi nilikuambia na Uzi upo kuwa hutodumu hapo hata ndani ya Miezi Sita na kama Kawaida yao au Kawaida yenu baadhi ya watu hapa JamiiForums yakanipuuza GENTAMYCINE lakini kile kile nilichokitabiri juu ya Paul Makonda kimetokea.
Haya Makonda na leo tena nakwambia kuwa hata huko Arusha ulikopelekwa ni Kimkakat zaidi ili Watu wamalize Shughuli mapema kwani tayari umeshaonekana ni tatizo halafu umeshajulikana kuwa kuna Mtu huwa unajifanya Kumpenda mbele za Mic za Media ila ukikaa Vijiweni Kwako na Washkaji pale Mbezi Beach na Masaki huwa Unamkashifu na Unamdharau hakuna mfano na ukimsifia Baba yako wa Hiari aliyemaliza safari yake 2021.