Turkey haipo umoja wa Ulaya acha story(EU), Turkey kuwa na jeshi kubwa ni kwa sababu Raid wao Edorgan anaamini katika Authoritarianism (nguvu ya jeshi kiutawala), pili Turkey ina idadi kubwa ya watu (kama 100 million). Lakini Uchumi wa Uturuki vijana wengi hawana ajira kama bongo tu. Uturuki anaweza kuwekeza kwenye Tofari, carpentry, na cherehani, lakini kiuwezo wapo chini sana.siwafahamu hao wawekezaji ila kuibeza uturuki ni ukosefu tu wa maarifa
1. ni nchi ya kwanza Ulaya (ukitoa urusi) na ya pili Nato nyuma ya Usa kwa jeshi kubwa.
2. Nchi ya 6 ulaya kiuchumi
3. siku zote ipo top 20 kwa nchi zenye technology kubwa Duniani na ufanyaji research duniani. wana tech kama magari ya kupaa, moja kati ya nchi yenye technology kubwa ya lasers, etc
4. wana mabilionaire wengi kushinda bara zima la Africa combined
Sent using Jamii Forums mobile app