mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,178
- 3,437
hadith hadith.?
I support you. I always believe the main cause of Congo's uneasiness and killings is my country Tanzania. Kagame na Museveni wamewekwa na serikali ya CCM. Tunacheza ngoma za wakuu wa magharibi. Pia uhusika wetu mwingine ni kupeleka silaha Congo kupitia Mwanza airport (Hubert Sauper's 2004 Darwin nightmare). Watu mmetuita wakimbizi kwa kutojua kwenu na uzalendo wa kijinga
ha ha ha de'levis ndani ya nyumba!Hutaki Unacha!JF imerudi mahali pake
asanteni wakuu
Moshe
Dayan na
de'levis
najua mnatuma ujumbe maana watu wake wapo humu.
Sijawahi kusikia Kikwete or Kagame kuzungumzia vita btn these 2 states lakini ukiingia Jf utafikiri kuna makombora yanasubiri amri kuanza kazi...hamna kazi nyie!!
jokaKuu,
As long as FDLR wataendelea kuwa na free hand eastern Congo itawawia vigumu kurekebisha makosa ya Mkapa na Mandela. Hivi kwa nini Zimbabwe haijachangamkia tenda hii this time? Nasikia ile vita ndiyo ilisaidia kudidimiza uchumi wake haraka. We are playing with fire.
kwa maamlaka ya nani mnatoa siri za nchi nyie watu.some of us we heard not knew, but our mouths were shut.hebu tunzeni siri za nchi nyie watu.
Mkuu huyo mdogo wake M7 ni Salim Saleh au?Moshe Dayan uko sahihi.. huyu bwana tulimfundisha mambo mengi sana na hayo ndiyo yalimpa mbinu za kumsaidia M7 kuichukua uganda...leo unapomuona amegeuka na kututolea maneno ya ajabu hakuanza leo.....wakati anatoka huko kansas marekani kusoma wakti huo fred rwigyema alikuwa ndio mkuu wa kikosi na kagame msaidizi. ni huyu huyu kagame aliyepanga mauaji ya fred rwigyema baada ya kuona kwamba anakubalika sana na alijua wakiitwaa rwanda ndiye angekuwa rais wa rwanda...
kagame aliandaa mpango mahususi wa kumueliminate fred...na amlimtumia kijana mmoja anaitwa ntanyambire ambaye alikuwa sniper.. kijana huyo akatekeleleza mauaji ya fred...maiti ya fred rwegyima walikaa nayo kwa siri hawa kina kagame kwa mwezi mmoja na ndipo kagame akatoa taarifa kwa M7 kuwa fred rwigyima ameuawa na kikundi cha watu watatu aliowataa kuwa ni Major Peter Bayingana, Major Chris Bunyenyezi na Major Frank Munyaneza .
mseveni alichukia sana baada ya kupata taarifa hizo na hao waliohusika na mauaji ya fred..kumbuka fredi alikuwa rafiki mkubwa sana wa M7 na alimpenda sana...hivyo M7 akamtuma mdogo wake aliyeitwa ally saleh kwenda kuhakikisha hawa watutu waliomuua fredi rwegyima nao wanauawa...majaor ally saleh alitekeleza mauaji hayo kwa mpigo...
baada ya seke seke hilo hapo ndipo kagame sasa akapata mwanya wa kuwa mkuu wa kikosi hadi wakaitwaa rwanda na yeye kuwa rais..
kwa hiyo basi kagame hakuanza leo kudanganya na kusingizia...alimuingiza mkenge mseven kwa kumwaminisha kwamba fred ameuawa na hao jamaa niliowataja hapo juu...lakini ni yeye alikuwa nyuma ya mpango mzima..
ndio tulimfundisha mbinu nying..tradecraft na spycratf kibao..lakini leo anapotuletea dharau hatuwezi kumwacha hivi hivi...
he was trained well ila na yeye ni kichwa sana, he became very famous in espionage na alikua mtu wa kuingia front kwenye raids with few but skilled soldiers
Kagame yuko busy na kutengeneza "Israel" ya East Africa. Shida aliyonayo ni kukosa bahari ya Mediterranean!
Na wanyarwanda kibao wamo usalama wa taifa,ndio hapo sasa
jokaKuu,
As long as FDLR wataendelea kuwa na free hand eastern Congo itawawia vigumu kurekebisha makosa ya Mkapa na Mandela. Hivi kwa nini Zimbabwe haijachangamkia tenda hii this time? Nasikia ile vita ndiyo ilisaidia kudidimiza uchumi wake haraka. We are playing with fire.
facts must be told to make the records clear!kwa maamlaka ya nani mnatoa siri za nchi nyie watu.some of us we heard not knew, but our mouths were shut.hebu tunzeni siri za nchi nyie watu.
facts must be told to make the records clear!
Lete file lake lilopo TISS ndio tutakuamini
dah, kama tanzania imeweza kuwatrain raia wa nje wakafikia kiwango cha juu cha ujasusi, basi watanzania wala msiwe na wasiwasi. Ina maana kuna watanzania kibao wana level ya kagame na hata kumzidi. Sema tu tanzania ni nchi ya amani na kila mtu ana nidhamu kwa mamlaka. Sema inapotokea tunachokozwa basi hapo ndipo inakuwa balaa. Hebu fikiria, tumewezesha nchi za angola, msumbiji, zambia, zimbabwe, namibia, south afrika na nyenginezo kujipatia uhuru. Pia tumeangusha utawala wa idd amini, itashindikana kwa hiki kikaragosi?