Moshe Dayan,
..umesahau Bin Laden alivyowatenda USA??
..kuna wengine wanabisha, lakini ukweli utabaki kwamba tulikosea kutoku-support ile mission ya SADC ya 1999.
..tungesimama upande wa Zimbabwe, Angola, na Namibia, wakati ule, hali isingekuwa mbaya kiasi hiki Congo.
..wacha JK na Zuma warekebishe makosa ya Mkapa na Mandela/Mbeki.
cc Ogah, Jasusi, Nguruvi3
jokaKuu,
As long as FDLR wataendelea kuwa na free hand eastern Congo itawawia vigumu kurekebisha makosa ya Mkapa na Mandela. Hivi kwa nini Zimbabwe haijachangamkia tenda hii this time? Nasikia ile vita ndiyo ilisaidia kudidimiza uchumi wake haraka. We are playing with fire.