Paul Kagame: Tanzania's own spy

Moshe Dayan,

..umesahau Bin Laden alivyowatenda USA??

..kuna wengine wanabisha, lakini ukweli utabaki kwamba tulikosea kutoku-support ile mission ya SADC ya 1999.

..tungesimama upande wa Zimbabwe, Angola, na Namibia, wakati ule, hali isingekuwa mbaya kiasi hiki Congo.

..wacha JK na Zuma warekebishe makosa ya Mkapa na Mandela/Mbeki.

cc Ogah, Jasusi, Nguruvi3

jokaKuu,
As long as FDLR wataendelea kuwa na free hand eastern Congo itawawia vigumu kurekebisha makosa ya Mkapa na Mandela. Hivi kwa nini Zimbabwe haijachangamkia tenda hii this time? Nasikia ile vita ndiyo ilisaidia kudidimiza uchumi wake haraka. We are playing with fire.
 
de'levis, long time no see.., turudi kwenye mada, ntakuja na topic jinsi rwegyima alivyouawa na jinsi siku alipoenda front ilikuaje rpg zote za unit yake zili-miss fire, ndipo utajua kagame tulimuivisha kwenye espionage

Nilichokoza kwenye uzi wangu mmoja nikawa navuta pumzi lakini naona umekuja full mass nondo! Ussiishie kwa Fred Rwegimya songa mbele kwenye mauaji ya marrais wawili (baada ya the Arusha accord) kisha umuangalie alivyomtumia Bizimungu, alivyomtumia Mzee Kabila (akiwatumia akina Bizima na Kabarebe), halafu alivyomkosakosa Kayumba na mengine mengi. Tutachangia pale patakapohitajika.
 
Tanzania trained him to be a world class spy, why is he turning against his mentor!? if there are misunderstandings, why cant diplomacy take the first course?? It was 1978 in a secret espionage farm(somewhere in morogoro), paul kagame was recruited, trained and eventually served as our informer and a spy in different top secret missions. why is this killing machine malfunctioning now!? Baada ya kumaliza mafunzo, hata Marekani ilimtambua kwa uwezo wake wa infiltration na counter espionage skills, kiasi kwamba ilimpa nafasi asome command and general staff college huko Kansas. PK Akiwa na Yoweri Museveni, Obote, Okello, Oyite Ojock, Yusuf Lule, Fred Rwigyema na majasusi waliokubuhu wa Tanzania, walikutana kwa siri Kilimanjaro, mwaka 1979,in a secret meeting called THE MOSHI CONFERENCE na kuunda "KIKOSI MAALUM" kilichotangulia na baadhi ya majasusi ndani ya Uganda kuendeleza insurgency covert operations wakati majeshi ya TPDF yakisonga mbele. Hii timu ilikua pia na David Sejusa Tinyefunza, jasusi kuu la Uganda(SPY CHIEF) aliyepishana kauli na M7 na kuamua kukimbilia UK.Tanzania made them what and who they are now, powerful and intimidating.Timu hiyo ilifunzwa unprecedented guerrilla tactics kama tulizowafunza wenzetu wa kusini mwa Afrika na ndio maana PK akiwa bega kwa bega majasusi wenzetu na Fred Rwigyema ambaye aliuwawa kwenye battle waliweza kuingia hadi Kigali kwa kupitia Uganda Virunga Mountains baada ya kutumikia UPDF kama security chief wa M7.A "cold war" highly fueled by media should be stopped and let the old memories flourish.If we had same belief or ideology, why should we differ now..???
Unakosa point, mbona huilaumu Tanzania kwa kumsaidia Museveni na Waganda kwa ujumla.

Ukianza kufikiria hivyo unavyosema basi itabidi uilamu Tanzania kwa mambo mengi.
Akina Mbeki, Chisano, Machele, Neto, Nujoma, Mgabe, Nkomo, Sisulu hata Odinga wote wamekulia Tanzania.
Je, tukihitilafiana kimitazamo na nchi zao hiyo ina maana tulifanya makosa kuwahifadhi tena zaidi kuliko PK

Tena utaenda mbali sana na kulaumu hadi UDSM kwasababu akina Garang, Museveni ni Alumni.
Sasa sijui utasema nini kuhusu hilo.

Nia ilikuwa njema tatizo ni jeuri, kiburi na chuki ambazo mtu huwezi kuziona hata microscope.
 
Somehow and somewhere something went wrong and possibly we did a mistake that we cant accept today!!!!!!

The creation of our own is claimed to have a bad colour???!!!!
 
jokaKuu,
As long as FDLR wataendelea kuwa na free hand eastern Congo itawawia vigumu kurekebisha makosa ya Mkapa na Mandela. Hivi kwa nini Zimbabwe haijachangamkia tenda hii this time? Nasikia ile vita ndiyo ilisaidia kudidimiza uchumi wake haraka. We are playing with fire.
comrade, you are right, hizi sio zama za kupigana mavita ya kipuuzi, hata mrwanda mwenyewe hawezi ku-sustain vita economically for more than a year
 
.......tulishawapa ujumbe kuwa......at any cost.....ya kulinda utu wetu na Taifa letu..."HATUTAWAPUUZA"........

Ogah, exactly maneno mazito hayo. PK hajui nguvu ya utu wa mtanzania, hajui Utu wetu ni Utukufu na Mamlaka. UTU WA MTANZANIA ULIO UTUKUFU NA NGUVU ...unawasumbua sana majirani zetu, hawajui siri hii na UTU KAMWE HAUTAKUWEPO KIGALI. UTU NI UTANZANIA, sio ukenya, wala uuganda na kamwe hauwezi kuwa Unyarwanda.

Na UTU ulio UTANZANIA na UTUKUFU ukifoka Mbingu, Milima, Mito na Bahari zitarindima ..KIGALI ITAYEYUKA KAMA KIPANDE CHA SIAGI
KWENYE KIKAANGIO CHENYE MOTO MKALI.
 
Last edited by a moderator:
I support you. I always believe the main cause of Congo's uneasiness and killings is my country Tanzania. Kagame na Museveni wamewekwa na serikali ya CCM. Tunacheza ngoma za wakuu wa magharibi. Pia uhusika wetu mwingine ni kupeleka silaha Congo kupitia Mwanza airport (Hubert Sauper's 2004 Darwin nightmare). Watu mmetuita wakimbizi kwa kutojua kwenu na uzalendo wa kijinga

If not being a crazy? You are a tutsi.
 
baba yenu anawahadaa na kuwatumikisha pasipo kujua...tutawasaidia mjue kuwa mnatumikishwa...tabia yake tunataka ikome na ITAKOMA...angekuwa anachofanya ni halali ndani na nje ya rwanda sasa hivi asingekuwa anakimbia kimbia na kuhama hama hasa nyakati za usiku na halali sehemu moja...

au na wewe murutongore tukudunge ''truth serum'' kama mmoja wenu aliyekuwa anatumiwa na baba yenu na akamwaga kila kitu hali iliyopelekea baba yenu anaishi kama digi digi hasa nyakati za usiku mpaka sasa?

Mkuu wewe ni noma unatisha ila umenifanya nilale usingizi kwa amani ukizingatia naishi mpakani karibu na Rwanda hiyo comment yako inaonyesha kuna watu wanamshughulikia slim boy kimya kimya
 
Na huyu mkuu wa rwandese patriotic front rwigyema,aliyeuwawa siku chache tangia rpf iingie rwanda,alikufa kifo cha ajali ya kivita,ama aliuwawa kwa conspiracy?habyarimana na rais wa burundi waliuwawa na kina nani?je major general kagame alikuwa na wadhifa gani kule uganda kwenye serikali ya yoweri kaguta museveni?mpiganaji dr john garang alipouwawa kwa ajali ya helikopta(mheshimiwa mbowe naomba chukua tahadhari zote,na ile chopper-miguulu si mtu) alitokea uganda kuzungumza na yoweri kaguta museveni-my guess? Kuna kitu walitofautiana na ndiyo maana hakufika kwa mkewe kupeleka matooke ya uganda!swali la kizushi:kwa nini kila gaidi dhidi ya system za makaburu,waingereza,idd amin, aliwahi kufika ama kusoma ama kupata mafunzo ya medani ardhi ya tanzania?mimi nimekosa mchango ila nina nmaswali hadi nyongo inatibuka!
 
kagame's era are numbered tutsi of jf send this message to pk
 
kwa mikwara tu wabongo hatujambo, hivi kama majasusi wetu ndio mahodari wa ku-train maraisi wengine na kuwapa mbinu iweje ndani kwetu tunashindwa kutoa viongozi imara au ina maana majasusi wa CCM ni wakali zaidi kwenye kulinda ngome yao.

Hainipi kuona hali ya siasa za ndani na ugawaji wa mali hovyo unaoendelea kutoka kwa viongozi wa waliopo na bado wengine wanataka nafasi za uraisi, halafu eti tuna majasusi waliobobea ambao wapo tayari kufa kwa ajili ya usalama wa taifa, si wangeangaika na kuwaweka watu wenye huwezo madarakani kuliko serikali ambayo imejaa akina Sofia Simba.
 
Dhu!!

Mbona tunashindwa kutengeneza akina Kagame wetyu wenyewe?? AU CCM wanawazidi akili??

Tungekuwa mbali sana!!

tungewapata watano, leo hii mafisadi wote wangekuwa chali. Democracy inaminywa mpaka huwa namuhurumia Dr. Slaa na Mbowe. Anyway if 2015 ikishindikana, watu watafikiri visivyofikirika
 
Back
Top Bottom