OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
Mnapata wapi Hizi habari?? Mnatutisha sasa eeh
Tulia kimyaaaaa au ulijua MMU ndo inabeba neno GREAT!!!!
Mnapata wapi Hizi habari?? Mnatutisha sasa eeh
he was trained well ila na yeye ni kichwa sana, he became very famous in espionage na alikua mtu wa kuingia front kwenye raids with few but skilled soldiers
Humu ndani kuna watu, mi nilkuwa sijui kitu mkuu asante kwa taarifa hii nzuri
For the past few months or so, Kagame has been on front pages of Tanzanian minds and thoughts. If the time you use everyday discussing Kagame was spent productively I believe that your GDP would have increased a percentage point. Just thinking out loud.
That's just your racist mentality, from body look to names!Your name says a lot. You must be one of them.
Moshe Dayan,Tanzania trained him to be a world class spy, why is he turning against his mentor!? if there are misunderstandings, why cant diplomacy take the first course?? It was 1978 in a secret espionage farm(somewhere in morogoro), paul kagame was recruited, trained and eventually served as our informer and a spy in different top secret missions. why is this killing machine malfunctioning now!? Baada ya kumaliza mafunzo, hata Marekani ilimtambua kwa uwezo wake wa infiltration na counter espionage skills, kiasi kwamba ilimpa nafasi asome command and general staff college huko Kansas. PK Akiwa na Yoweri Museveni, Obote, Okello, Oyite Ojock, Yusuf Lule, Fred Rwigyema na majasusi waliokubuhu wa Tanzania, walikutana kwa siri Kilimanjaro, mwaka 1979,in a secret meeting called THE MOSHI CONFERENCE na kuunda "KIKOSI MAALUM" kilichotangulia na baadhi ya majasusi ndani ya Uganda kuendeleza insurgency covert operations wakati majeshi ya TPDF yakisonga mbele. Hii timu ilikua pia na David Sejusa Tinyefunza, jasusi kuu la Uganda(SPY CHIEF) aliyepishana kauli na M7 na kuamua kukimbilia UK.Tanzania made them what and who they are now, powerful and intimidating.Timu hiyo ilifunzwa unprecedented guerrilla tactics kama tulizowafunza wenzetu wa kusini mwa Afrika na ndio maana PK akiwa bega kwa bega majasusi wenzetu na Fred Rwigyema ambaye aliuwawa kwenye battle waliweza kuingia hadi Kigali kwa kupitia Uganda Virunga Mountains baada ya kutumikia UPDF kama security chief wa M7.A "cold war" highly fueled by media should be stopped and let the old memories flourish.If we had same belief or ideology, why should we differ now..???
Unapigana vita ambayo unajua umeishashindwa. Mtawekwa wazi zaidi.
That's just your racist mentality, from body look to names!
de'levis, long time no see.., turudi kwenye mada, ntakuja na topic jinsi rwegyima alivyouawa na jinsi siku alipoenda front ilikuaje rpg zote za unit yake zili-miss fire, ndipo utajua kagame tulimuivisha kwenye espionage
Mnapata wapi Hizi habari?? Mnatutisha sasa eeh
That's just your racist mentality, from body look to names!
Wakuu murutongore na Jeanclaude mbona nyie ni ndugu halafu mnagombana/jibizana ugenini.!!!!! Mna maajabu nyie na ubaguzi unawatesa.
Lol. watch this space. Usikimbie lakini
I don't think Museveni and Kagane were "planted" by Tanzania. What Tanzania did was to train them to liberate their own countries which they did. Tanzania and DRC are free countries. DRC is internationally entitled to acquire some armaments and transport them to their country.
....! Hata aliposikia Nyamwasa anataka kwenda UK kusoma command and staff college roho ilimuuma na kumuuliza iweje aende shule na huku vita inaendelea Congo.....ambapo Nyamwasa alimjibu mjumbe wake kuwa "mwambie Paul asiwe na wasiwasi najua hata nikurudi nitakuta vita inaendelea......!"
I somehow beg to differ. Kabila is the president of an independent country called DRC and he has the obligation to protect it according to the oath he took as president. Kabila does not have an interest in DRC, he is the DRC itself! All the others you have mentioned are intruders.