nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
Atakuwa amejiteka mwenyewe huyo
Tatizo ccm mnaendeleza siasa zilezile za miaka ile ile mnasahau kuwa watu wameshabadilika
Atakuwa amejiteka mwenyewe huyo
Huyu si alikuwa mfanyakazi wa Diallo..? Diallo achunguzwe mawasiliano yake.. IT wa Chadema tunaomba majibu
Rafu zimeanza mapema!
Pia kuna uwezekano wa watu kununuliwa na kuhujumu upinzani hivyo jambo hili lichunguzwe.
Mgombea ubunge jimbo la shinyanga
mjini mh patrobass katambi
na m/kiti bavcha taifa,
inasemekana ametekwa mda mfupi
uliopita na kinyang'anywa fom zake za
ubunge
nimezungumza na mwenezi wa jimbo hilo
na kuthibitisha hilo
lkn pia sim ya mgombea haipatikani
...
Nimeongea pia na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha hili
Duh hii hatari ila naogopa isje kuwa kama yule mgombea wa serikali za Mitaa Mlalo Lushoto mwaka jana aliyenunuliwa na kujifanya ametekwa hadi muda wa kuridisha form ukapita. MANI sipo online kule kwenye group. Hizi taarifa zina ukweli kiasi gani?
Yale yale ya kujifanya wametekwa ili CCM ipite bila kupingwa.Muda si upo mwingine apeleke form
Nimeziona lakini wanadai original anazo copy ndio wamechukua!
Makamanda naomba muizingire hiyo ofisi ya Tume wilaya hakuna fomu itakayopokelewa
leo,hakuna kinachoingia wala kutoka mpaka ijulikane hiyo form iko wapi.