- Thread starter
- #21
Kwa sales team itawakata sanaaa! Watu huwezi kuwaajiri kwa mkataba moja kwa moja! Inabidi ndo uwatest anaeuza vizuri ndo unampa mkataba na bima na Nssf. Bila hivo mtu ana mkataba hapafomu na ukimfukuza umlipe!
Hapo mi naona 2 options, Unachukua hio Kilo 2 unalala nyumbani raha mustarehe.
Unachukua Kilo 2 unajituma kuuza hio 10 unaondoka na kilo 4
Either way you win sababu hubanwi, unaenda asubuhi tu ukute mda unaobaki wafanya mambo yako tu!
ndugu kwa mfumo wa kazi hapa huwez lala nyumbani pili mfanyakazi wanafurahia kazi zao kwa jinsi kazi ilivyo na itaavyo kuwa nzuri huwezi lala wala kuleta mzaa yapo mambo mengi ya kuzingatia kabla huja ingia kazini na kuondoka kazini kila siku, bidhaa zetu zina kubalika sana kwani ni bidhaa mpya hapa Tanzania amabyo kila mtu ata taka awe nayo nyumbani kwake kwani huokoa gharama sana, rahisi kutumia hvyo humfanya mfanyakaxi kuwa na kazi rahisi sana ya kupata watu tembelea www.simgas.com kwa maelezo zaidi ya bidhaa yetu