PATA a FREE WEBSITE !

Naomba nimsaidie maana sijui katokomea wapi, ki(English na swahili) chake huwa kina ulakini.
Alikuwa na maana PATA a FREE WEBSITE HOSTING. Neno moja linakosa. Ila kuna mtu alimcharge 1.5M na mpka leo mwezi wa 6 anapeta bila hosting fee.
Mimi nawapoza wahitaji na wapenzi wa website za bure mliokwazika na labda mlitegemea kupata kwa huyu ndg mnipe kazi yenu nijifunzie,nitawatengenezea bure i.e nitajifunzia kwenye hizo websites na zitakuwa hewani kwa 2 Yrs bureeeeeeeee na mpaka domain name nitalipia mimi. Malipo yangu ni Asante yenu. Offer iko valid kwa website 100 za kwanza.
 
Mkimagi
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
  • email.png
    Send Email
user-offline.png
Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join DateSat Jan 2010Posts16Thanks1Thanked 1 Time in 1 Post Rep Power0


Tokea amepost hii kitu hajarudi tena! Au amebadili jina?
 
Naomba nimsaidie maana sijui katokomea wapi, ki(English na swahili) chake huwa kina ulakini.
Alikuwa na maana PATA a FREE WEBSITE HOSTING. Neno moja linakosa. Ila kuna mtu alimcharge 1.5M na mpka leo mwezi wa 6 anapeta bila hosting fee.
Mimi nawapoza wahitaji na wapenzi wa website za bure mliokwazika na labda mlitegemea kupata kwa huyu ndg mnipe kazi yenu nijifunzie,nitawatengenezea bure i.e nitajifunzia kwenye hizo websites na zitakuwa hewani kwa 2 Yrs bureeeeeeeee na mpaka domain name nitalipia mimi. Malipo yangu ni Asante yenu. Offer iko valid kwa website 100 za kwanza.
aisee bure ghali.
hebu nitumie pm how to get you freely nikupe inputs kisha unihostie my website fasta
 
Pia mie ni muhitaji ni PMie kdogo kwa ufafanuzi kdogo, si unajua ndo muda mwafaka wa kwendesha gurudumu la sayansi na teknolojia nchi hii?
 
aisee bure ghali.
hebu nitumie pm how to get you freely nikupe inputs kisha unihostie my website fasta
Nimeshindwa kukuelewa big man,kwa kawaida ukiishasema bure aghali,mwisho huwa inaishia-sitaki.
Sasa ww unasema bure aghali halafu niku PM ili iweje?
2.You did not read me carefully,sio kuwa nahitaji msaada wa kuwatengenezea watu ws,sasa mie tena nianze kufanya search na ku PM watu wanaohitaji?Au ndio u TZ mtu anakupa ugali unaulizia akuletee na mboga nyumbani?I am sorry hiyo sitaweza bro,ukivutwa na wewe jivute
.:amen:
 
HABARI WANA JAMII FORUM.
SASA NIMERUDI NILITOKA KIDOGO NJE YA NCHI NA SASA NIMERUDI TENA.OKEY,NILISEMA NI BURE KWA SABABU PRICE YAKE NI KIDOGO KULINGANISHA NA OTHER WEBSITE DEVELOPERS,ANYWAY THAT WAS A KIND OF PROMOTION TO OUR COMPANY BUT NOW ITS NO LONGER AVAILABLE.

PLEASE HAVE A LOOK AT ONE OF OUR UNIFINISHED PROJECT lastdaysanointing.org
PLEASE ANY QUESTIONS WILL BE ANSWERED AT A PROMT TIME.
ASANTE
 
Back
Top Bottom