Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,941
Ilikuwa ni katika tamasha la injili lililofanyika hapa Katesh Manyara kama ninavyomnukuu kutoka kwenye fb page yake:
POST 1:
Munishi Faustin DailyNews
KASHFA YA CCM KUUA WANAHABARI NI DOA KUBWA KWA SERIKALI YA KIKWETE. JE SABUNI GANI ITATOA DOA HILO? JE NI MARY NAGU?
Serikali ya CCM inakabiliwa na SCANDAL. ya Polisi wake kuua mwanahabari. Walitaka kutumia Tamasha la nyimbo za Injili kupooza moto unaowawakia CCM. Walimtaka Mchungaji anichagulie wimbo nitakaoimba. Walitaka niimbe ule usemao wanahabari ni wanafiki. Nikawaambia Nina ratiba ya nyimbo nitakazoimba na sikuwaambia ni wimbo upi.
SONGOMBINGO IKAANZIA HAPO. Sikubaliani na Serikali katika kuua mwanahabari akiwa kazini. Hata kama alikosea CCM walipaswa
kumfikisha mahakamani siyo kumuua. Kuutumia wimbo wangu kujaribu kuuonyesha umma kwamba ilikuwa sahihi kwa serikali kuua
mwanahabari siyo sahihi. Na CCM kuutumia wimbo wangu kama fimbo kuchapa wanahabari siyo sahihi.
Ningekubali masharti TBC TV YA TAIFA wangerusha Live. lakini hivi niliwagomea hata habari Leo hawataandika tena. Na mchezo umeishia hapo. Munishi hanunuliki na huwezi kumtumia kwa maslahi yako asijue.
Na hapa AKIBEZA tabia ya wanasiasa kujifanya wanaharaka wawapo kwenye tafrija mbalimbaki
POST 2:Munishi Faustin DailyNews
Waziri anapoudhuria ghafla ya kidini na kuomba kuondoka mapema kabla ibada kumalizika. Kwanza anavuruga ratiba. Inabidi Mchungaji akatize ibada amsindikize. Mchungajiakitoka na mgeni wake mwanasiasa ibada inapoteza mwelekeo. Washirika wanabaki na mbwembweza mwanasiasa kuingia na kutoka. Jesi ingekuwa vyema kama mwanasiasa ameamua kuja. kanisani akae hadi mwisho wa ibaada?
Au wanasiasa wana haraka kuliko Mungu? Nazungumza kumhusu WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji Dk Mary Nagu anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye tamasha la kusifu na kuabudu Wilaya ya Hanang¡¯ mkoani Manyara.
POST 1:
Munishi Faustin DailyNews
KASHFA YA CCM KUUA WANAHABARI NI DOA KUBWA KWA SERIKALI YA KIKWETE. JE SABUNI GANI ITATOA DOA HILO? JE NI MARY NAGU?
Serikali ya CCM inakabiliwa na SCANDAL. ya Polisi wake kuua mwanahabari. Walitaka kutumia Tamasha la nyimbo za Injili kupooza moto unaowawakia CCM. Walimtaka Mchungaji anichagulie wimbo nitakaoimba. Walitaka niimbe ule usemao wanahabari ni wanafiki. Nikawaambia Nina ratiba ya nyimbo nitakazoimba na sikuwaambia ni wimbo upi.
SONGOMBINGO IKAANZIA HAPO. Sikubaliani na Serikali katika kuua mwanahabari akiwa kazini. Hata kama alikosea CCM walipaswa
kumfikisha mahakamani siyo kumuua. Kuutumia wimbo wangu kujaribu kuuonyesha umma kwamba ilikuwa sahihi kwa serikali kuua
mwanahabari siyo sahihi. Na CCM kuutumia wimbo wangu kama fimbo kuchapa wanahabari siyo sahihi.
Ningekubali masharti TBC TV YA TAIFA wangerusha Live. lakini hivi niliwagomea hata habari Leo hawataandika tena. Na mchezo umeishia hapo. Munishi hanunuliki na huwezi kumtumia kwa maslahi yako asijue.
Na hapa AKIBEZA tabia ya wanasiasa kujifanya wanaharaka wawapo kwenye tafrija mbalimbaki
POST 2:Munishi Faustin DailyNews
Waziri anapoudhuria ghafla ya kidini na kuomba kuondoka mapema kabla ibada kumalizika. Kwanza anavuruga ratiba. Inabidi Mchungaji akatize ibada amsindikize. Mchungajiakitoka na mgeni wake mwanasiasa ibada inapoteza mwelekeo. Washirika wanabaki na mbwembweza mwanasiasa kuingia na kutoka. Jesi ingekuwa vyema kama mwanasiasa ameamua kuja. kanisani akae hadi mwisho wa ibaada?
Au wanasiasa wana haraka kuliko Mungu? Nazungumza kumhusu WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji Dk Mary Nagu anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye tamasha la kusifu na kuabudu Wilaya ya Hanang¡¯ mkoani Manyara.