Passwords Zinantesa!

Ha ha haaaa 60 mbona ni wengi hivyo kabanga
hivi kwa sasa unaweza kujua hata test zao kweli.
Mamndenyi mbona uneshituka hivyo....?
ladha tofauti kuanzia uzaramuni, wa iringa, wa dodoma, warombo wamachame, wakibosho sijui wa uru, wakule kwetu tanga mjini , pangani, lushoto, bado mazeruzeru, waarabu koko wa shinyanga, wasomali wa handeni na keko, wajaluo wa kenya, wamombasa..... wewe tofauti ipo!
 
Last edited by a moderator:
Yalaaa,
Umemaliza kazi.

Tuma salamu uchague na wimbo
pengine dj wetu BAK atatuburudisha.

Mamndenyi mbona uneshituka hivyo....?
ladha tofauti kuanzia uzaramuni, wa iringa, wa dodoma, warombo wamachame, wakibosho sijui wa uru, wakule kwetu tanga mjini , pangani, lushoto, bado mazeruzeru, waarabu koko wa shinyanga, wasomali wa handeni na keko, wajaluo wa kenya, wamombasa..... wewe tofauti ipo!
 
Last edited by a moderator:
BAK nimemwona kule kwenye jukwaa tata sijui kama tatoka huko salama. kabanga hembu wataje majina mmmh na hiyo foleni sijui itafika wapi
labda kibaha. Judgement ameshathubutu bado wewe tu.
BAK yupo kule sihasani au chini kabisa....?
Wajua kutaja inakuwa ngumu wengine tunamikataba binafsi... kweli wanaweza fika mlandizi! Judgement wake wamefika maili moja au ruvu?
 
Last edited by a moderator:
nakushauri fungua kampuni ya mapasi-wadi
Hii teknolojia ya digital inanitesa. Nimejikuta nina passwords nyingi ambazo nashindwa kuzikumbuka kichwani zote.
Nikiangalia kwenye miongozo ya IT wanataja baadhi ya sifa za password nzuri ni
1. Iwe na mchanganyiko wa herufi na namba, ili kuwa ngumu kwa hackers ku-guess
2.Usiiandike popote, itunze kichwani
3. and so on

Kwa haraka haraka nikiangalia passwords tunazomiliki
1. Bank, na ukute una account zaidi ya benk moja, hapa epuka kutumia aniversaries za mkeo, mmeo, watoto, miaka ya kuzaliwa, mwaka wa kufunga ndoa, eashy for clever hackers to guess kama anakufahamu vizuri
2. Kazini una passwords kwa ajili ya ku-login kwenye systems, tena hulazimika kubadilika badilika baada ya kipindi fulani
3. Una personal email accounts, official, kuna zile mamluki kwa ajili ya vitu mamluki tena hizi ni nyingi kweli nazo una passwords
mfano una gmail 2, yahoo 2
4. Facebook, una account ya ukweli na mamluki
5. Mitandao ya kijamii labda ni member wa mitandao zaidi ya miwili, plus multiple ID's!!
6. Mitandao ya kufatuta ajira let say ni member wa mitandao mimwili tu
7. Professional groups eg Linkedin na mingine ming nako una password

Utunzaji wa hizi password unantatiza, wenzangu mnalionaje.
Naboreka sometimes.

Sijui nifungue kampuni la kutunza password za waungwana?
 
Back
Top Bottom