Miez miwili hapana akiwa na zaid ya miaka 2 ndo utamkatiaWapendwa naomba kuuliza,,,ukiwa na mtoto mchanga mwenye umri wa miezi 2 na unataka kusafiri nae pia unahitaji kumkatia passport?maana mimi nina passport yangu ya miaka 10 na bado miaka 6 ndo ita expire na ninahitaji kusafiri na mtoto nje ya Afrika na bado sijajua nifanyeje,,msaada tafadhali