Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Wow! Acid, hope ur a lovely husband and father! Congrats!
Leo mtapatikana wengi sana....tuendelee...
Wow! Acid, hope ur a lovely husband and father! Congrats!
sie tunapewa six working days, wengine siku tatuPaternity leave inatolewa siku 3 tu sasa ndani ya siku hizo baba anaweza akamsaidiaje mama?
Binafsi naona akina baba nao tupiganie haki angalau tuwe na Paternity leave ya siku 30.
Hii paternity leave ni wakati mzuri wa kuwa site ukishughulikia ujenzi wa nyumba au kwenye shughuli za ujenzi wa familia.
Leo mtapatikana wengi sana....tuendelee...
Leo mtapatikana wengi sana....tuendelee...
sie tunapewa six working days, wengine siku tatu
au sio mpwa?
kweli kabisa kazinMpwa kwa mujibu wa ELRA 2004 ni siku 3 tu
Sasa siku 3 mpwa hazitoshi hata nyie hizo 6 days kwa kweli hazitoshi angalau iwe kama 30days
Ukipewa 30days mbona mama na kichanga watafrahi maana unakuwa unawajibika haswaa home mitori usafi na kila kitu ni wewe tu
mj1 vipi na hiyo avatar?Sweet Babu!!.......Mbona hivi? Mkoloni wako hatoi partenity nini ?....au wewe ni mmoja wa wale ambao huwa mnasubiri bado mwiezi miwili mama ajifungue basi unamsafirisha mndeny akajifungulie kule...kama ni ndio basi obviously huweziona umuhimu wa hii kitu aisee
Chauro acha tu..... wangu alipewa wiki na akaitumia effectivly kwa lkuniliza nikiwa bado kitanda cha hospital na mshono wangu.... zilizobaki alinuna na kunifanyia action hadi nikajikuta namlaani alogundua partenity leave...........nilishusha pumzi zilivyoisha
Mpwa kwa mujibu wa ELRA 2004 ni siku 3 tu
Sasa siku 3 mpwa hazitoshi hata nyie hizo 6 days kwa kweli hazitoshi angalau iwe kama 30days
Ukipewa 30days mbona mama na kichanga watafrahi maana unakuwa unawajibika haswaa home mitori usafi na kila kitu ni wewe tu