frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,099
- 1,338
- Thread starter
- #81
Sasa mlianzisha vyama vingi vya nini sasa kama Hamtaki kukubali Kushindwa? Kwamba hata ikibidi Damu imwagike lazima Mtawale Arusha?
Mkuu achana na huyu jamaa ana hoja ni ubishi tu na ma reference ambayo ayalengi hoja ( narudi tena lema arusha ni ukombozi na mwiba wa mafisadi/lowasa)