cassavaleaves
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 1,377
- 1,716
Wana forum:
Nimekuwa nikufuatilizia debates zinazoendelea ndani ya forum yetu, kwa kile kichoendelea Mashariki ya Kati, hasa kipindi hiki cha vita kati ya Israel na Hamas.
Kilichonisikitisha sana ni hoja za ushabiki ndio nyingi, wengi wetu tunakuja kutetea pasipo kuonyesha kwa nini uko upande huyo , na kwa sababu ipi. Mgogoro huu ni complex, wengi wamejaribu sana kutoa mawazo yao.Mgogoro umebeba kila aina ya mitazamo, dini, utaifa na mitazamo mbali mbali.
Baada tu ya kuangaza mgogoro huu, nimejaribu sana kutafuta vitabu mbalimbali ili niweze kupata narratives za kila upande, hata upe upande nao egemea nisiwe mbumbumbu na kuafuata kama kasuku.
Jana niliagiza Kitabu ambacho Wanazuoni wa Kiyahudi na Wapelistina walikaa pamoja na kujaribu kuandika historia ya mahali kila mtu akionyesha upande wake unavyoungalia mgogoro huo. Kitabu hiki kinaitwa Side By Side: Parallel Histories of Israel-Palestine
Natoa ushauri kama unataka kujifunza tu kuhusu huu mgogoro, na kujua kila upande unavyo itafsri historia na kujenga hoja zake, jipatie hiki kitabu
Nadhani ukiweza kupata Kitabu hiki kitasaidia mno kukuelimisha na kukufungua macho kuona Mitazamo ya Israel na Palestina inavyotofautiana na pia katika maeneo mengine kushabihiana.
Nimekuwa nikufuatilizia debates zinazoendelea ndani ya forum yetu, kwa kile kichoendelea Mashariki ya Kati, hasa kipindi hiki cha vita kati ya Israel na Hamas.
Kilichonisikitisha sana ni hoja za ushabiki ndio nyingi, wengi wetu tunakuja kutetea pasipo kuonyesha kwa nini uko upande huyo , na kwa sababu ipi. Mgogoro huu ni complex, wengi wamejaribu sana kutoa mawazo yao.Mgogoro umebeba kila aina ya mitazamo, dini, utaifa na mitazamo mbali mbali.
Baada tu ya kuangaza mgogoro huu, nimejaribu sana kutafuta vitabu mbalimbali ili niweze kupata narratives za kila upande, hata upe upande nao egemea nisiwe mbumbumbu na kuafuata kama kasuku.
Jana niliagiza Kitabu ambacho Wanazuoni wa Kiyahudi na Wapelistina walikaa pamoja na kujaribu kuandika historia ya mahali kila mtu akionyesha upande wake unavyoungalia mgogoro huo. Kitabu hiki kinaitwa Side By Side: Parallel Histories of Israel-Palestine
Natoa ushauri kama unataka kujifunza tu kuhusu huu mgogoro, na kujua kila upande unavyo itafsri historia na kujenga hoja zake, jipatie hiki kitabu
Nadhani ukiweza kupata Kitabu hiki kitasaidia mno kukuelimisha na kukufungua macho kuona Mitazamo ya Israel na Palestina inavyotofautiana na pia katika maeneo mengine kushabihiana.