dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Hallow the greet thinker
Baada ya wizara kuamua kutumia gharama kubwa kwenda kuchapishia mitihani ya kidato cha sita nchini Uholanzi.
Nimefanikiwa kuhojiana na wanafunzi waliomaliza form six kuhusu mitihani yao (kwa baadhi yao walio maliza na wengine bado wanaendelea) kuwa mitihani imevuja wameifanya kabla hawajaingia katika vyumba vyao vya mitihani simu imekuwa kiungo kikubwa cha usambazaji wa maswali na majibu kwa mfano nimetajiwa mitihani ya Kiswahili, Language na History sababu ndio aliyokuwa anaifanya (resit)
HOJA ZANGU
1. Ni nani anaye toa mitihani hiyo wizarani?
2. Tatizo ni tamaa ya kifedha kwa wanaonunua au wamiliki wa shule kusifiwa kwa kufaulisha?
3. Ni taifa gani tunatengeneza?
Kusema ukweli tunajiua mwisho wa siku Majirani km Kenya ndio watakao kuja kuajiriwa ndani ya nchi yetu wenyewe ngojea umoja wa Afrika mashariki utimie wote tutakuwa mashahidi
Baada ya wizara kuamua kutumia gharama kubwa kwenda kuchapishia mitihani ya kidato cha sita nchini Uholanzi.
Nimefanikiwa kuhojiana na wanafunzi waliomaliza form six kuhusu mitihani yao (kwa baadhi yao walio maliza na wengine bado wanaendelea) kuwa mitihani imevuja wameifanya kabla hawajaingia katika vyumba vyao vya mitihani simu imekuwa kiungo kikubwa cha usambazaji wa maswali na majibu kwa mfano nimetajiwa mitihani ya Kiswahili, Language na History sababu ndio aliyokuwa anaifanya (resit)
HOJA ZANGU
1. Ni nani anaye toa mitihani hiyo wizarani?
2. Tatizo ni tamaa ya kifedha kwa wanaonunua au wamiliki wa shule kusifiwa kwa kufaulisha?
3. Ni taifa gani tunatengeneza?
Kusema ukweli tunajiua mwisho wa siku Majirani km Kenya ndio watakao kuja kuajiriwa ndani ya nchi yetu wenyewe ngojea umoja wa Afrika mashariki utimie wote tutakuwa mashahidi