Papa afikiria kuruhusu mapadri waoe

Angalau itapunguza kashifa ya Kulawiti Watoto inayolifedhehesha Kanisa hilo..,
 
We’re on the same page Mkuu. Kumbuka pia zile kesi za kulawiti USA na Europe.

You are absolutely right Mkuu. These issue should be private matters. It is very difficult to force youngmen and young women to live without sex for 10, 20, 30, or 40 years while they still have sexual needs. What normally happens is that they take advantage of situation, of their power and authority to have sex most of the times against young people and people under their authority.
 
Wakiruhusiwa kuoa itakuwa ndo mwanzo na mwisho wa nguvu ya kanisa katoliki! Imagine Padri anaondoka mwezi mzima kuuguza mtoto wake,wakati anakaribia kurudi mke naye kaumwa analazimika kubaki! Huduma za kanisa za kila siku nani atafanya?? Wahitaji kuwa mkatoliki kujua ubusy wa Padri!
 
Kiongozi wa kanisa katoliki amependekeza kubadili mfumo wa utumishi wa mapadre akisema itakuwa vyema kama makasisi hao wakiruhusiwa kuanza kuoa.

Hii habari imechapishwa na Mwananchi online.

Papa ataka kubadili mfumo ili mapadri waoe

Nini maoni yako? hasa hasa wakatoliki,
Je unadhani kukithiri kwa vitendo vya udhalilishaji watoto vinavyofanywa na hawa mapadre ndio chachu ya mabadiliko haya?
Je inawezekana kuwa ni kweli swala la kuoa/mahusiano ni hitaji la kimwili na ruhusa toka kwa Mungu hivyo si sahihi kwa mwanadamu kuiharamisha?

Karibuni
 
On point Mkuu.


You are absolutely right Mkuu. These issue should be private matters. It is very difficult to force youngmen and young women to live without sex for 10, 20, 30, or 40 years while they still have sexual needs. What normally happens is that they take advantage of situation, of their power and authority to have sex most of the times against young people and people under their authority.
 
View attachment 623282

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amependekeza kubadili mfumo wa utumishi wa mapadre akisema itakuwa vyema iwapo makasisi hao wakaruhusiwa kuanza kuoa.

Hata hivyo, imefahamika kuwa pengine pendekezo hilo likawaruhusu mapadre wa Brazil pekee kutokana na mjadala unaoendelea nchini humo. Hivi karibuni Askofu wa Brazil, Kadinali Claudio Hummes alimwomba Papa Francis kufikiria kuondoa sheria inayowakataza makasisi kufunga ndoa.

Ingawa pendekezo hilo la Papa Francis huenda likapunguza tatizo la uhaba wa wanaume wanaojiunga kwenye utumishi huo, lakini linatarajiwa kukabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa waumini wenye msimamo mkali na hata pia kusababisha mgawanyiko ndani ya kanisa.

Ombi hilo linatarajiwa kujadiliwa katika kikao cha baraza la kanisa kinachotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu nchini Brazil.

Kanisa Katoliki linahubiri mafundisho ambayo yanapiga marufuku makasisi wake kufunga ndoa ingawa kumekuwa na baadhi wanaovunja mwiko huo na kuisha maisha ya ndoa. Hata hivyo, wale wanaochukua uamuzi huo hujitenga na kanisa.

Kasisi moja aliyetambulika kwa jina la Paddy O’Kane amenukuliwa na baadhi ya magazeti akielezea uwezekano wa Papa Francis kuchukua uamuzi wa kuwafungulia mapadre kifungo cha kutokua wakati wowote mwezi huu.

“Hivi karibuni nilimsikia Papa anataka kutekeleza ombi alilolipata toka Brazil kama jaribio lake la kwanza,” alisema.

Papa Francis na mtangulizi wake, Benedict XVI wamekuwa wakieleza kuwa suala la makasisi kutoruhusiwa kuoa siyo jambo lisiloweza kubadilika na kwamba jambo hilo linajadilika.

Chanzo: Mwananchi
Kumbe inadhihirisha amri ya kutokuoa mapadri si ya kwenye biblia....
 
Wakiruhusiwa kuoa itakuwa ndo mwanzo na mwisho wa nguvu ya kanisa katoliki! Imagine Padri anaondoka mwezi mzima kuuguza mtoto wake,wakati anakaribia kurudi mke naye kaumwa analazimika kubaki! Huduma za kanisa za kila siku nani atafanya?? Wahitaji kuwa mkatoliki kujua ubusy wa Padri!

Mkuu other Christians denominations do allow their Pastors to marry and they are still going strong, infact growing at faster rate than Roman Catholics Church (RC). It will actually help them to relate with other families better.
 
View attachment 623282

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amependekeza kubadili mfumo wa utumishi wa mapadre akisema itakuwa vyema iwapo makasisi hao wakaruhusiwa kuanza kuoa.

Hata hivyo, imefahamika kuwa pengine pendekezo hilo likawaruhusu mapadre wa Brazil pekee kutokana na mjadala unaoendelea nchini humo. Hivi karibuni Askofu wa Brazil, Kadinali Claudio Hummes alimwomba Papa Francis kufikiria kuondoa sheria inayowakataza makasisi kufunga ndoa.

Ingawa pendekezo hilo la Papa Francis huenda likapunguza tatizo la uhaba wa wanaume wanaojiunga kwenye utumishi huo, lakini linatarajiwa kukabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa waumini wenye msimamo mkali na hata pia kusababisha mgawanyiko ndani ya kanisa.

Ombi hilo linatarajiwa kujadiliwa katika kikao cha baraza la kanisa kinachotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu nchini Brazil.

Kanisa Katoliki linahubiri mafundisho ambayo yanapiga marufuku makasisi wake kufunga ndoa ingawa kumekuwa na baadhi wanaovunja mwiko huo na kuisha maisha ya ndoa. Hata hivyo, wale wanaochukua uamuzi huo hujitenga na kanisa.

Kasisi moja aliyetambulika kwa jina la Paddy O’Kane amenukuliwa na baadhi ya magazeti akielezea uwezekano wa Papa Francis kuchukua uamuzi wa kuwafungulia mapadre kifungo cha kutokua wakati wowote mwezi huu.

“Hivi karibuni nilimsikia Papa anataka kutekeleza ombi alilolipata toka Brazil kama jaribio lake la kwanza,” alisema.

Papa Francis na mtangulizi wake, Benedict XVI wamekuwa wakieleza kuwa suala la makasisi kutoruhusiwa kuoa siyo jambo lisiloweza kubadilika na kwamba jambo hilo linajadilika.

Chanzo: Mwananchi
Itakuwa vyema maana wqnahangaika kuibaiba mitaani
 
Ubakaji utaongezeka wakionja ladha ya msisimko na mimba kuongezeka parokian na majimboni.. Ila itakuwaje kwa wale ambao umri umeenda watakubaliwa na nani ?
 
AISEE WAOE TU ILA NAWAONEA HURUMA SANA WANA PAROKIA NA MAKANISA YAO.MAANA SASA WATALISHA FAMILIA YA PADRI,WAKWE ZAKE NA NDUGU WENGINE WATAJAZANA PALE.

Sadaka na zaka zitashuka sana kama sio kutokuwepo kabisa na hao mapadri kutakiwa kuwa na vipato vyao wenyewe kama madiwani.

Kwani wakati ule wanaoa ilikuwaje?
 
Wakiruhusiwa kuoa itakuwa ndo mwanzo na mwisho wa nguvu ya kanisa katoliki! Imagine Padri anaondoka mwezi mzima kuuguza mtoto wake,wakati anakaribia kurudi mke naye kaumwa analazimika kubaki! Huduma za kanisa za kila siku nani atafanya?? Wahitaji kuwa mkatoliki kujua ubusy wa Padri!
Kwani lutheran na wengine wanafanyaje mkuu, mbona kawaida tu wanahudumu na wanajenga familia
 
Back
Top Bottom