Panama papers: Majina ya Watanzania waliohifadhi fedha nje ya nchi yatajwa

Asilimia 90 uchumi wa Tanzania upo mikononi mwa wahindi huo ndiyo ukweli.

Viwanda, Makampuni makubwa, mabenki, wafanyabiashara wakubwa, karibia wote ni wahindi.

Hawa wameanza kukusanya pesa ya halal na halam toka enzi ya mkoloni.


Ukweli ni kwamba tusipo badilisha mifumo ya kiuchumi na utawala au tusipo rekebisha mifumo ya uwekezaji tutabaki tunapiga kelele tu.
Ni dhahiri kwamba hawa mafisadi tunawapa kipaombele tena kuwasujudu matokeo yake wanachuma utajiri mkubwa alafu fedha zetu baadala ya kuzunguka hapa nchini zinakwenda kufichwa huko nje.

Bado sijaona nia ya dhati kwa serikali yetu katika kuboresha mazingira ya uwekezaji kwa watanzania kwanza mgeni baadae.

Tunasema Tanzania ya viwanda huku tukimjali mgeni hata kwenye baadhi ya sekta ya viwanda ambayo ipo ndani ya uwezo wetu kweli tunajidanganya sisi wenyewe.

Tanzania ijayo ya viwanda bado ninaona nitanzania itakayo kwenda kuliwa vizuri na hawa mafisadi kwa kuwa hata sera zetu hazipo madhubuti ama hazitotekelezwa kwa ukamilifu
 
Hivi hawa wahindi wooooooooooote ni Watanzania? Namkumbuka Iddi mwaka 1975 huko Uganda....Natamani haya yatokee Tanzania miaka hii...
 
Kwa wale waliokuwa wansubiri kupekuwa kwenye database ya Panama papers kuona kama kuna vijogoo wa Afrika hususani Tanzania wameficha fedha wanaweza kupekuwa sasa. Kila kitu kimewekwa online.

Baadhi ya majina ni;

Hasnain Ahmed Hassanali Tanzania, United Republic of Panama Papers

Mohamedraza Ahmed Hassanali Tanzania, United Republic of Panama Papers

Ahmedirfan Mohamedraza Hassanali Tanzania, United Republic of Panama Papers

MR. KASBIAN NURIEL CHIRICH Tanzania, United Republic of Panama Papers

Mr. Azizi ROSTAM Tanzania, United Republic of Panama Papers

Nawshad Ahmed Hassanali Tanzania, United Republic of Panama Papers

JORGE MARITINO Tanzania, United Republic of Panama Papers

EDUARDO MARTINO Tanzania, United Republic of Panama Papers

JORGE MARTINO Tanzania, United Republic of Panama Papers

EDUARDO MARITINO Tanzania, United Republic of Panama Papers

JACEK MONLNIK ROGOYSKI Tanzania, United Republic of Panama Papers

BOULDER MINING LIMITED Tanzania, United Republic of Panama Papers

MRS. SUKAINA MANJI Tanzania, United Republic of Panama Papers

Talal Mohamed Abood Tanzania, United Republic of Panama Papers

Abbas Mohammed Jessa Tanzania, United Republic of Panama Papers

NARENDRA VAGHJIBHAI PATEL Tanzania, United Republic of Panama Papers

Ms. Zuzana Kovacicova Tanzania, United Republic of Panama Papers

Mr. Eric PASANISI Tanzania, United Republic of Panama Papers

SAJJAD MOHAMEDHUSSEIN VIRANI Tanzania, United Republic of Panama Papers

Mr. Eric PASANISI Tanzania, United Republic of Panama Papers

Mr. Suril Shah Tanzania, United Republic of Panama Papers

Suril V. Shah Tanzania, United Republic of Panama Papers

Mr Kalpesh Menhta Tanzania, United Republic of Panama Papers

Roberta Thomaz de Mattos Brisolla Tanzania, United Republic of Panama Papers

NICHOLAS CHARLES WILSON Tanzania, United Republic of Panama Papers

SEYDOU KANE Tanzania, United Republic of Panama Papers

KONSEL JAMES WAMBURA Tanzania, United Republic of Panama Papers

Abbas Mohamed Jessa Tanzania, United Republic of Panama Papers

SUN MINING LIMITED Tanzania, United Republic of Panama Papers

Abdulaziz Mohamed Abood Tanzania, United Republic of Panama Papers

ABBAS MOHAMMED JESSA Tanzania, United Republic of Panama Papers

Mohamed Panju Jessa Tanzania, United Republic of Panama Papers

Abbas Mohamed Jessa Tanzania, United Republic of Panama Papers

HARIDATT VAGHJIBHAI PATEL Tanzania, United Republic of Panama Papers

Fauzi Mohamed Abood Tanzania, United Republic of Panama Papers

B.A. KOTECHA Tanzania, United Republic of Panama Papers

R.D. KOTECHA Tanzania, United Republic of Panama Papers

MRS. SUKAINA MANJI Tanzania, United Republic of Panama Papers

SUKAINA MANJI AND YUSUF MANJI AS TRUSTEES OF THE MANJI FAMILY TRUST Tanzania, United Republic of Panama Papers

ANIL VAGHJIBHAI PATEL Tanzania, United Republic of Panama Papers

Mrs Kantaben Manibhai Chhotabhai Patel Tanzania, United Republic of Panama Papers

MRS. ROSMINA KANANI Tanzania, United Republic of Panama Papers

MR. DANIEL LITTMAN Tanzania, United Republic of Panama Papers

Mrs. Aarti Puri Tanzania, United Republic of Panama Papers

Mr. Eric PASANISI Tanzania, United Republic of Panama Papers

Mr. Azizi ROSTAM Tanzania, United Republic of Panama Papers

Andre Schmid Tanzania, United Republic of Offshore Leaks

KANIZ MEHBUB MANJI Tanzania, United Republic of Offshore Leaks

Mr. Stuart Hugh MacDonald Tanzania, United Republic of Offshore Leaks

Mr Rameshchandra Chotalal Somani Tanzania, United Republic of Offshore Leaks

Rameshchandra C. Somani Tanzania, United Republic of Offshore Leaks

Mr. Rameshchandra C. Somani Tanzania, United Republic of Offshore Leaks

MEHBUB YUSUFALI MANJI Tanzania, United Republic of Offshore Leaks

Wengine ni;

LIERVAAG, M.
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

NICITERETSE, ROGERTanzania, United Republic ofPanama Papers

JAMES BABAN
Tanzania, United Republic of, MauritiusPanama Papers

WHEELOCK HOLDINGS LTD.
26-NOV-1996 British Virgin Islands Tanzania, United Republic of Panama Papers

RICHMOND FINANCE CORPORATION 11-MAR-1986 Panama Tanzania, United Republic of Panama Papers

EXPRO ENERGY LTD. 23-JUL-2014 British Virgin Islands Tanzania, United Republic of Panama Papers


Vilevile zimepatikana anwani za watu 38 kati ya hao ambazo ni;

42 KWALE RD; OYSTER BAY; DAR ES SALAAM; TANZANIA
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

5060 Morogoro Road; Daresalam; Tanzania
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

Av. De Mayo 701 piso 19; Buenos Aires; Argentine Republic
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

C/O PLOT 40 KURASINI; TEMEKE DISTRICT; PO BOX 359; DAR ES SALAAM; TANZANLA
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

DoB 18/10/1969 Slvak Republic
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

FLAT NO. 5 1st FLOOR TANGANYIKA FLATS INDIRA GHANDI HOUSE PO BOX 1912 DARESSALAAM TANZANIA
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

Kunduchi; Plot 52/53 - 21880 - DAR ES SALAAM; Tanzania
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

Kunduchi; Plot 52/53 - 21880 -DAR ES SALAAM; Tanzanie
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

OLD MANAGER'S HOUSE; MIRINGA COFFEE ESTATE; OLD DODOMA ROAD; ARUSHA; TANZANIA
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

OLOUMI; LIBREVILLE; GOBONESE REPUBLIC
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

PLO NO. 14/15 SOUTH STREET (MTENDENI); DA ES SALAAM; TANZANIA
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

Plot 14/13 P.O.BOX 1440 SOUTH STREET, DAR ES SALAAM
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

Plot 14/15; P.O. Box 1440; South Street; Dar es Salaam
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

Plot 14/15 South Street (Africa Street); Dar es Salaam; Tanzania
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

PLOT 1414; MASAKI; DAR ES SALAAM; TANZANIA
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

PLOT 2361/4; SEA VIEW; UFUKONI ROAD; UPANGA; DAR ES SALAAM; TANZANIA
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

PLOT 435; MALIK ROAD; UPANGA EAST; DAR ES SALAAM; TANZANIA
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

Plot 6J; John Mahenge Street; P. O. Box 127; Morogoro; Tanzania
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

Plot no. 1/13/C; House no. 3; Chisiza Close; Oyster Bay; Dar Es Salaam; Tanzania
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

Plot No. 904; Mfaume Street; Upanga East; P.O.Box 63136; Daressalaam; Tanzania
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

PO Box 1072; Dar Es Salam; Tanzania
Tanzania, United Republic ofPanama PapersPO BOX 1258; DAR ES SALAAM; TANZANLATanzania, United Republic ofPanama Papers

P.O. Box 42166; Dar es Salaam; Tanzania
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

P.O. box 6223; H.No 859; Mazengo Street; Dar ES Salaam; Tanzania
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

P.O.BOX 9284PLOT 362B MSASANI RENINSULA DAR ES SALAAM.
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

Quality Group 6 Nyerere Road; P.O. Box 235; Dar Es SalaamTanzania, United Republic ofPanama Papers

Quality Group; 6 Nyerere Road; P.O. Box 235; Dar Es Salaam; Tanzania
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

RG: 10.132.496-0; Rua Joel Jorge de Mello no 468-apto.21; Vila Mariana-SP-04128-080.
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

Plot 66 Ghuba Road; Oyster Bay; P.O.Box 23287; Dar Es Salaam; Tanzania.
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

1748 India Street; Tanga; Tanzania
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

2379/34 WINDING AVE, P.O. BOX 105796 DAR ES SALAAM TANZANIA
Tanzania, United Republic ofPanama Papers

P.O. Box 1192, Dar es Salaam, Tanzania
Tanzania, United Republic ofOffshore Leaks

P.O. BOX 235 DAR ES SALAAM TanzaniaTanzania, United Republic ofOffshore Leaks

Lohana Complex, Block 20, Dar-Es-Salam, Mtedeni/Mreema St. P.O.Box:22246,Tanzania
Tanzania, United Republic ofOffshore Leaks

Plot 310A Mikocheni Off Garden Road, Dar-Es-Salaam Tanzania
Tanzania, United Republic ofOffshore Leaks

Shri Lohana Mahajan Building, Mrima, Temple Street Dar-E-Salam, Tanzania
Tanzania, United Republic ofOffshore Leaks

Shri Lohana Mahajan Building Mrima Temple Street Dar-E-Salam Tanzania
Tanzania, United Republic ofOffshore Leaks

Link hii chini

https://offshoreleaks.icij.org/search?utf8=✓&q=&c=TZA&j=&e=&commit=Search


Link hii hapa ICIJ Offshore Leaks Database
HIYO NI PANAMA SASA YA USWISS VIPI?? AMBAYO HATA MWANASHERIA MKUU ALIYEWAHI KUSEMA ANABEBA MSALABA WA ESCROW ALITETEA BUNGE LISICHUNGUZE SWALA LA USWISS BADALA YAKE IACHIWE SERIKALI NA HADI LEO KIMYAAAAAA,
 
Wenye pesa hiyo zaidi ya 90% ni wenye ccm. Mkisikia ccm INA wenyewe mlidhani ni hawa kapumu, hapana wengine in vibao na wenyewe ndio hawa. Wameiweka mfukoni hata ufanyeje watailinda isitoke madarakani hadi dunia ifutike. Ukisikia mtu anaitetea ccm huwa anawatetea hawa. Kuwagusa hawa ni kuleta machafuko nchini. Ili kulinda amani yetu achana na hawa watu. Ni juu yako kuachana na hawa watu au kukinukisha ili waondoke. Wapinzani ukisikia wanataka kuiondoa ccm huwa wanataka kuwaondoa hawa wahindi na wahindi koko wao. Sijui wewe uu upande upi?
 
Napata impression kwamba watu wanauelewa mdogo kuhusu uwekezaji nje ya nchi. Kuna tofauti kati ya kufungua accnt binafsi nje ya nchi na kufungua acct ya company iliyosajiliwa nje.

Kinachotafutwa hapa ni je kuna swala la ukwepaji kodi au money laundering? na kama lipo ni kivipi? Kama hakuna ukwepaji kodi au money laundering nashauri watu wasipoteze muda wao kujadili hili, kwa sababu si kosa kufungua au kusajiri kampuni nje ya nchi.
 
Wakati majina ya Watanzania 23 yakiibuka kwenye ripoti mpya ya Panama Papers inayotaja wamiliki wa kampuni zilizoanzishwa nje ya nchi kwa lengo la kukwepa kodi, wafanyabiashara waliotajwa wamezungumzia kuhusika kwao kwenye sakata hilo.

Wafanyabiashara hao maarufu ni Rostam Aziz ambaye ana hisa kwenye kampuni tofauti nchini, Yusuf Manji (aliyestaafu ukurugenzi wa Quality Group Tanzania Ltd takriban mwezi mmoja uliopita, Abdulaziz Mohamed Abood, ambaye anafanya biashara ya huduma ya usafiri na ni mmiliki wa vyombo vya habari.

Uchunguzi huo umefanywa na Kundi la Waandishi wa Habari za Uchunguzi Duniani (ICIJ) na unaibua majina ya wafanyabiashara na kampuni ambazo zimesajiliwa kwenye visiwa vilivyo nje ya nchi zao na kuweka uwezekano mkubwa wa kukwepa kodi.

Kampuni hizo zilisajiliwa kwa msaada wa kampuni ya kisheria ya Mossack Fonseca, ambayo imebobea katika usajili wa kampuni visiwani, lakini baadaye nyaraka zipatazo milioni 11 ambazo ni mawasiliano ya barua pepe, ankara za madai na nyingine, zilivuja katika uchunguzi huo na kufanya sakata hilo kupachikwa jina la Panama Papers.

Rostam Aziz

Katika ripoti hiyo ya jana, Rostam, ambaye alikuwa mbunge wa Igunga kwa tiketi ya CCM, anatajwa kumiliki kampuni ya Ranchville Properties iliyosajiliwa Jakata, Indonesia.

Akizungumza na Mwananchi jana, Rostam alisema ni halali kwake kuwa na kampuni hiyo kwa kuwa alishastaafu siasa.

Alisema ni halali kwake kuwa na kampuni nchi mbalimbali kwa ajili ya kuwekeza na wakati mwingine uwekezaji huo unatokana na maombi ya benki ambazo anafanya nazo kazi kihalali.

“Mimi nimestaafu siasa takribani miaka saba na nimeamua kujikita kwenye biashara za kimataifa,” alisema Rostam.

“Ni halali kwangu kufanya hivyo ili niwekeze kwa namna ambayo ni halali kisheria na itawanufaisha zaidi wanahisa wenzangu.”

Rostam aliongeza kuwa hata Umoja wa Waandishi wa Habari za Uchunguzi (ICIJ) walioibua sakata hilo wamesema kuwa umiliki huo wa kampuni nje ya nchi ni biashara halali.

“Wao ni wataalamu, hawawezi kutaja kuwa mtu anakwepa kodi lakini hawana mamlaka,” alisema.

Alikuwa akizungumzia ilani iliyowekwa kwenye ripoti hiyo kuwa si wote waliotajwa kwenye ripoti hiyo ni wahalifu na majina yao ni muhimu kuthibitishwa ili kujiridhidha kwa kuwa baadhi hufanana.

Yusuf Manji

Ripoti hiyo pia inataja familia ya Manji, ambaye alisema taarifa hiyo si habari mpya kwake kwa sababu ni kitu cha kawaida. Alisema Quality Group ina kampuni zaidi ya 102 zilizosambaa kwenye nchi 28 duniani.

“Hiyo si stori, mbona hata wakati nastaafu nilitaja kampuni zetu ambazo zipo ndani na nje ya nchi?,” alisema Manji, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga.

“Aliyekuambia zinakwepa kodi ni nani? Kwani hata hapa ndani kampuni ikitaka kukwepa kodi si inakwepa tu?” alihoji.

Alisema miongoni mwa wanahisa waliotajwa kwenye kampuni ya Intertrade Commercial Ltd, Keniz Mehbub Manji ni mama yake mzazi na mwingine aliyeitwa Sukaina ni dada yake ambaye ameshafariki dunia.

“Tuna kampuni nyingi, nyingine zipo Dubai, Singapore, China na kwingine,” alisema.

Abdulaziz Abood

Alipoulizwa jana, Abood ambaye pia ni Mbunge wa Morogoro Mjini kwa tiketi ya CCM, alijibu kwa kifupi kuwa hana kampuni na wala hayajui masuala ya Panama Papers.

“Mimi sijui wao wananitaja wakati mimi sijui chochote,” alisema Abood ambaye ametajwa kuwa ana hisa kwenye kampuni ya Kenzas Management Corp iliyosajiliwa visiwa vya Seychelles.

Takukuru yachunguza

Tunu Mleli, msemaji wa Taasisi ya Kupambana na Rushwa (Takukuru) aliiambia Mwananchi jana kuwa taasisi hiyo inazo nyaraka zote za Panama na inazifanyia kazi. Hata hivyo, alisema kwa kuwa nyaraka hizo ni nyingi, si kazi rahisi kuzichambua hivyo wanaendelea na kazi hiyo.

“Hiyo kazi ipo mikononi mwetu, tunaifanyia kazi na tunazo taarifa zote,” alisema.

Hii ni ripoti ya pili baada ya ile ya kwanza iliyotolewa na ICIJ mapema mwaka huu ikiwa na majina zaidi ya 12 ya viongozi wa kitaifa, familia zao na wahusika wengine duniani ambao wanamiliki kampuni hizo.

ICIJ wafafanua

Mmoja wa waandishi wa ICIJ walioshiriki utafiti huo, Will Fitzgibon alituma ujumbe kwa Mwananchi kwa njia ya barua pepe, akisema kampuni za Watanzania zilizoko nje ya nchi zinaweza kutumika vibaya kukwepa kodi.

“Kuna namna ambayo kampuni hizo zinaweza kutumika vibaya kukwepa kodi, ripoti mpya ya hivi karibuni itaeleza hayo,” alisema.

Jana, ICIJ ilitoa ripoti mpya inayoonyesha orodha ya majina ya Watanzania pamoja na kampuni zinazomilikiwa na Watanzania nje ya nchi.

Ripoti hiyo, iliyopewa jina la Panama Papers, inataja majina Watanzania zaidi ya 20 wenye kampuni nje ya nchi na kampuni nane za Kitanzania.

Nyaraka hizo zinaonyesha jinsi ambavyo matajiri wanamiliki kampuni nje ya nchi ambazo huweza kutumika vibaya kukwepa kodi.

Jana, ICIJ ilitoa ripoti nyingine iliyoonyesha kampuni za siri zaidi ya 214,000 zilizo kwenye visiwa 21 duniani.

Miongoni mwa viongozi wanaotajwa kuhusishwa na umiliki kampuni hizo ni pamoja na Rais wa Russia, Vladmir Putin, Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameroon, Waziri Mkuu wa Pakistan, Nawaz Sharif, aliyekuwa Waziri Mkuu wa Iceland, Sigmundur David Gunnlaugsson na Rais wa Ukraine, Alaa Mubarak.

Watanzania waliotajwa

Jumla ya Watanzania 23 wametajwa kwenye ripoti hiyo ya ICIJ wakiwamo wafanyabiashara wakubwa na wanasiasa.

Mehbub Yusufali Manji, ametajwa kwenye ripoti hiyo kuwa ni mkurugenzi na mwanahisa wa kampuni Intertrade Commercial Services Inc. Mwanahisa mwingine ni Kaniz Mehbub Manji na kampuni hiyo iliyosajiliwa Tanzania na British Virgin Island.

Sukaina Manji na Yusuf Manji ni wanahisa na bodi ya wadhamini wa kampuni ya Miga Ltd na Co- Trustee of Manji Family Trust.

Kadhalika, Sukaina Manji ana hisa kwenye kampuni ya DewDrops Consultants iliyosajiliwa Oueensland, Australia na kampuni nyingine ya Golden Global International Capital Ltd, ambayo imesajiliwa nchini Luxermborg.

Wengine ni Konsel James Wambura, mwanahisa wa kampuni ya Funsways Holdings Ltd iliyosajiliwa Costa Rica, Aarti Puri (Waythorn S.A, Tanzania, B.A Kotecha (Shree Jee Investment ya Ohio, Marekani). Mwingine anayehusishwa na kampuni ya Shree Jee ni R.D Kotecha.

Panama Papers zinamtaja pia Eric Pasanisi mkurugenzi na anayemiliki hisa za kampuni ya Mount Kilimanjaro Safaris Club na Tanganyika Expedition Ltd. Kampuni hizo zimesajiliwa Jamhuri ya Watu wa Panama.

Wengine ni Mohamed Panju Jessa mwenye hisa kwenye kampuni ya Flint Development lakini pia ana kampuni ya Eldengrove Properties Ltd na Decima Development Ltd na Layton Essential Ltd iliyopo Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

Mwingine ni Rosmina Kanani ambaye ana hisa kwenye kampuni ya Olsen Asset Management iliyosajiliwa British Virgin Island mwaka 2004. Wanahisa wengine ni Raza Jafar na Shamsi Kanani.

Kadhalika, Rosmina ana hisa kwenye kampuni ya Perlino Equities Corp iliyopo UAE.

Hasnain Ahmed Hassanali ana hisa kwenye kampuni ya Ranaha Investment ambayo imesajiliwa Visiwa vya Jersey, Uingereza, Nawshad Ahmed Hassanali (Ranaha Investment Jersey, Uingereza), Jorge Martino na Eduardo Martino (Brilen Company, Zheng Zhou City), China.

Wengine ni Suril Shah mwenye hisa kwenye kampuni ya Amersham Management Consultants Ltd ya Marekani, Kalpesh Menhta (Methley Global Ltd, Waterloo, Uingereza).

Kampuni zilizotajwa

Ripoti ya pili ya Panama Papers inaonyesha kampuni zinazomilikiwa na Watanzania ambazo zipo kwenye Visiwa vya British Virgin, Nevada na Hongkong, Queensland, Australia na China kuwa ni Hagura Tanzania Ltd iliyofunguliwa Julai 1988, na kusajiliwa kwenye British Virgin. Kampuni hii ilianza kazi Aprili 30, 1993.

Kampuni nyingine ni AngloGold Investment Tanzania Ltd, imesajiliwa British Virgin Island na kuanza kazi Aprili 30, 2008.

Nyingine ni Tanzania Tourism and Hospitality Investment Ltd iliyosajiliwa Jersey, Uingereza, Anglogold Exploration Tanzania Ltd iliyosajiliwa British Virgin Island na kuanza kazi Aprili 30, 2008.

Nyingine ni Luhombero Safaris Tanzania Ltc iliyosajiliwa British Virgin Island na kuanza kazi Oktoba 2010. Hata hivyo, ilishindwa kuendelea na kazi.

Kampuni nyingine ya Kitanzania ni Heritage Energy Tanzania Ltd iliyosajiliwa British Virgin Island na kuanza kazi Aprili 30, 2011. Hata hivyo, haikufanya malipo yoyote. Nyingine zilizotajwa kwenye ripoti hiyo ni Tanzania Refreshments Ltd iliyoanza kazi tangu Januari 7, 2011 ikiwa imesajiliwa British Virgin Island.

Kampuni nyingine ni Tanzania Minerals Ltd ambayo ilianza kufanya kazi Novemba 10, 2006, hata hivyo, haijulikani iliposajiliwa.
 
Waifanyizie kazi kwanza listi iliyotolewa Bungeni ya watu wenye akaunti nje ya nchi akiwemo mzee wa vijisenti
 
It's a shame nchi inaingia madeni wakati watanzania wenye wapo kibao halafu wameficha hela nje siupuuzi huu?
They ain't patriotic I bet it is due to there origin, they ain't indigenous here.
Watimuliwe tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom