Kitang'wa1
JF-Expert Member
- Dec 4, 2014
- 460
- 285
Ukilijua hili neno HUWEZI KUWA SHUJAA SIKU ZOTE, na hili HUNA SABABU YA KUONYESHA USHUJAA WAKO MUDA WOTE PALE, hakika hautakuwa na mhemko wa kuchokoza ama kuchokozwa.
Nilishuhudia askari polisi akichapwa ngumi kama anafundishwa kazi vile. Nilishuhudia pia wale wababe wa 90's mbavu nene, akipigwa kama mtoto na msichana. Nilishuhudia pia baunsa anachapwa mateke ya shingoni na msichana tu.
Hivyo, ni kujiheshimu tu na kuangalia ustaarabu wa maisha. Jifunze ngumi kwa Defence na siyo kwa kuchokoza, maana siku utamchokoza mwalimu na ni raia.
Ahsante!
Nilishuhudia askari polisi akichapwa ngumi kama anafundishwa kazi vile. Nilishuhudia pia wale wababe wa 90's mbavu nene, akipigwa kama mtoto na msichana. Nilishuhudia pia baunsa anachapwa mateke ya shingoni na msichana tu.
Hivyo, ni kujiheshimu tu na kuangalia ustaarabu wa maisha. Jifunze ngumi kwa Defence na siyo kwa kuchokoza, maana siku utamchokoza mwalimu na ni raia.
Ahsante!