winston20
JF-Expert Member
- Jun 21, 2020
- 1,117
- 2,259
Cheka kidogo
Anakuja Mchina anasema anahitaji Paka,
ananunua mmoja kwa bei ya 20,000/=, basi
wanakijiji wanahaha kusaka Paka,
wanawaleta mchina ananunua wote anasepa
nao. Anarudi tena anasema vipi, naona
wameadimika, sasa ntanunua kwa bei ya
35,000 Paka mmoja, wanakijiji wanaenda
deep zaidi msituni, kamata Paka, leta kwa
mchina, mchina anasepa nao.
Afu wiki
mnayofuatia Mchina anasema bado anataka
Paka, saivi atanunua kwa Laki. Wanakijiji
macho yamewatoka, hawana tena paka.
Mchina anasema basi ntaftieni kwa Laki na
Nusu. Keshoake inasikika kuwa kuna Mchagga
anauza Paka kijiji cha pili, anauza kwa
100,000/=, wanakijiji wanawahi fasta
wanaenda nunua Paka wote wa kijiji cha
pili. Wanarudi kijijini hawana pesa ila wana
Mapaka wakijua watamuuzia mchina fasta kwa
laki na nusu, Mchina hatokei Ng'oooo!!!!
Infact, yule mchina alikuwa anawakusanya tu na kuwahifadhi kule kijiji cha pili akijua ataja wauza kwa 100,000/= kwa hawa hawa wa kijiji hiki.
Huu mchezo hauhitaji hasira
Anakuja Mchina anasema anahitaji Paka,
ananunua mmoja kwa bei ya 20,000/=, basi
wanakijiji wanahaha kusaka Paka,
wanawaleta mchina ananunua wote anasepa
nao. Anarudi tena anasema vipi, naona
wameadimika, sasa ntanunua kwa bei ya
35,000 Paka mmoja, wanakijiji wanaenda
deep zaidi msituni, kamata Paka, leta kwa
mchina, mchina anasepa nao.
Afu wiki
mnayofuatia Mchina anasema bado anataka
Paka, saivi atanunua kwa Laki. Wanakijiji
macho yamewatoka, hawana tena paka.
Mchina anasema basi ntaftieni kwa Laki na
Nusu. Keshoake inasikika kuwa kuna Mchagga
anauza Paka kijiji cha pili, anauza kwa
100,000/=, wanakijiji wanawahi fasta
wanaenda nunua Paka wote wa kijiji cha
pili. Wanarudi kijijini hawana pesa ila wana
Mapaka wakijua watamuuzia mchina fasta kwa
laki na nusu, Mchina hatokei Ng'oooo!!!!
Infact, yule mchina alikuwa anawakusanya tu na kuwahifadhi kule kijiji cha pili akijua ataja wauza kwa 100,000/= kwa hawa hawa wa kijiji hiki.
Huu mchezo hauhitaji hasira