Ni kwa sababu kuombea na mapepo ni utapeli na wizi wa kijinga, uliopindukia!Romani Catholic imejengwa katika misingi ya utii wa hali ya juu. Kamwe, si padri Fosudo au askofu atakayefunguka kuhusu sababu za kufukuzwa.
Ila assumptions za kuadhibiwa mapadri wa Roman Catholic huwa ni uzinzi wa wazi wazi, na wizi wa fedha za kanisa uliopindukia. Padri akiwa anachukua fedha kidogo kujihudumia yeye anavumiliwa tu.
Pia, kosa lingine kubwa kabisa ambalo padri wa roman catholic atafukuzwa kutoka kanisani, ni pale atakapoanza kuombea waumini mapepo na kuanguka kama wanavyofanya kina Mwamposa. Sijajua kwa nini roman catholic hawataki kibisa mapadri kuombea watu mapepo.
Hukuwa na wito, kumtumikia Kristo kwa nafasi ya uchungaji haina uhusiano na matendo ya wengine! Hao wote ni binadamu tu na kila mtu atahukumiwa kwa nafasi yake.Nilitaka kwenda kwenye upadre 10Years ago baada ya kutoka chuo kikuu.
Hata hivyo maombi yangu hayakujibiwa kwa zaidi ya mwaka mzima.
Leo sijutii kutoenda huko..maana ningekuwa miongoni mwa mapadre wa hovyo ama wangenifukuza kwa kupinga waziwazi tabia mbaya zinazoendelea huko.
Niliwahi kwenye mahusiano na binti mmoja ambaye nilimweka kwenye matarajio ya kuwa mke, siku moja nikakuta anachat na padre mmoja (prof.), wanatumiana picha za uchi kabisa. Nilijisemea moyoni " afadhali sikwenda huku"
Wapo wengi mno wenye watoto, wamezaa na wafanyakazi wa wao wa ndani, wamezaa na masista, wengine wamewapa mimba mabinti kisha wanafadhili utoaji wa mimba n.k n.k
Vitu/mambo mengi ya hovyo yanapita mahali panapodhaniwa kuwa salama eg. Makanisani, misikitini n.k
Lingine nafikiri ni kutoa siri ya kitubioRomani Catholic imejengwa katika misingi ya utii wa hali ya juu. Kamwe, si padri Fosudo au askofu atakayefunguka kuhusu sababu za kufukuzwa.
Ila assumptions za kuadhibiwa mapadri wa Roman Catholic huwa ni uzinzi wa wazi wazi, na wizi wa fedha za kanisa uliopindukia. Padri akiwa anachukua fedha kidogo kujihudumia yeye anavumiliwa tu.
Pia, kosa lingine kubwa kabisa ambalo padri wa roman catholic atafukuzwa kutoka kanisani, ni pale atakapoanza kuombea waumini mapepo na kuanguka kama wanavyofanya kina Mwamposa. Sijajua kwa nini roman catholic hawataki kibisa mapadri kuombea watu mapepo.
Sasa utoaji wa mapepo si ni utapeli wa wazi kabisa!! Mabwege ndio huwa wanaamini usanii huoRomani Catholic imejengwa katika misingi ya utii wa hali ya juu. Kamwe, si padri Fosudo au askofu atakayefunguka kuhusu sababu za kufukuzwa.
Ila assumptions za kuadhibiwa mapadri wa Roman Catholic huwa ni uzinzi wa wazi wazi, na wizi wa fedha za kanisa uliopindukia. Padri akiwa anachukua fedha kidogo kujihudumia yeye anavumiliwa tu.
Pia, kosa lingine kubwa kabisa ambalo padri wa roman catholic atafukuzwa kutoka kanisani, ni pale atakapoanza kuombea waumini mapepo na kuanguka kama wanavyofanya kina Mwamposa. Sijajua kwa nini roman catholic hawataki kibisa mapadri kuombea watu mapepo.
Sahihi mambo yakuhisi bila kusema sio sawaNdugu, acha majungu. Kama una ushahidi, uliufikisha kwenye Baraza la Parokia; au kwa Paroko; au kwa Askofu? Njia zote hizo ziko wazi kusikiliza tuhuma hizo. Ninaongea hivyo kwa kufahamu mambo yaendavyo kikanisa kwa kuwa nimefanya kwenye mabaraza ya Parokia nchi tatu tofauti.
Kivipi ndugu.Rc mmetisha,mpaka sasa wabongo hatujajua kosa lake? Nyie ndo mnapaswa kuwa usalama wa taifa.
Mbususu ndiyo chanzo cha matatizo mengi dunianisijui kalizua nini huyu ndugu atakuwa anagugumia ndani kwa ndani.
Lazima uonyeshe una karama ya kuponya huwezi ukawa unawapanga watu na kuwaibia pesa zao. Hivi mnafikiri mambo ya kutoa mapepo yameanza kwa mwamposa au mwaka 2000. Wenye dini walishapitia haya utapeli ulikuwa mwingi sana mpaka wengine kutaka kuangusha nchiRomani Catholic imejengwa katika misingi ya utii wa hali ya juu. Kamwe, si padri Fosudo au askofu atakayefunguka kuhusu sababu za kufukuzwa.
Ila assumptions za kuadhibiwa mapadri wa Roman Catholic huwa ni uzinzi wa wazi wazi, na wizi wa fedha za kanisa uliopindukia. Padri akiwa anachukua fedha kidogo kujihudumia yeye anavumiliwa tu.
Pia, kosa lingine kubwa kabisa ambalo padri wa roman catholic atafukuzwa kutoka kanisani, ni pale atakapoanza kuombea waumini mapepo na kuanguka kama wanavyofanya kina Mwamposa. Sijajua kwa nini roman catholic hawataki kibisa mapadri kuombea watu mapepo.
Basi jua tu huyo ni mchawi hasa! hawa mapadre ukiwaroga ni walainiiiii!!! ….lkn wapo wengine wachawi niile mbaya wakikubaini wanasema ni mungu wao wa Vatican amewaambia!K
Ila hawa Roma huwa siwaelewi kuna mapadri wanao adhiniwa kwa makosa ambayo wengine hawaadhiniwi mfano Padri Bayo wa Jimbo la Pwani Bagamoyo ushahidi wa wazi kabisa upo amezaa na mfanyakazi wake watoto 2 lakini anasalisha na hakuna hatua yoyote alichukuliwa
😜Jimbo la Pwani linapatikana nchi gani