4giv me father i hav sinned. Nimetenda dhambi nahtaj padri mwenye upako niungame.
Bwana Yesu asifiwe.
Kumbe umegundua kuwa ile thread yako ya Nimemuona MwanaJF' dhambi mbaya?...Bora ukaungame haraka kwa Mungu wako.n4giv me father i hav sinned. Nimetenda dhambi nahtaj padri mwenye upako niungame.
Bwana Yesu asifiwe.
tatizo mapadre wengi wamejaa maovu bora ukaungame mwenyewemaungamo ni popote pale hata kwa skype.
anaendesha gxmia ana masta kad tembo kad?
anaendesha gxmia ana masta kad tembo kad?
Umeanza tena na mambo ya gx100 eeh, wakati uliikimbia ile thread bila kulazimishwa na mtu?
nina kila sifa unayohitaji mdadanipatie sifa zako.