Aksante sana CHEUSI!...nawe pia ubarikiwe sana ndani ya mwaka huu!mkubwa nakutakia heri ya mwaka mpya.
Aksante sana CHEUSI!...nawe pia ubarikiwe sana ndani ya mwaka huu!
Nimekukumbuka sana, vp hujapita tena mitaa hii tangu enzi zetu zile?
Hivi u-charming unasomewa wapi?
Sio kila mtu anao. . . .
Lizzy naomba nikutongoze basi....
Sitaki. . . naogopa NTAKUBALI.
Haya hapo nachukua umekubali nusu.. Hiyo inanitosha kwa sasa..
Vipi lakini bado tunaenda kule maeneo .. ?
Tufanye robo.
Yeahhh. . . sema tar mpaka niweke kila kitu sawa. Kuna ticket nimeona bei ya kutupwa kabisa.
Basi robo jumlisha na nusu ya robo nyingine.sijaridhika na robo ..
Naenda kule mitaa baada ya dakika 20 ..
Nikirudi tukutane basi pale mahali unipe story zaidi..
waonaje??
Basi robo jumlisha na nusu ya robo nyingine.
Ayyyyt. . . .ukifika nishtue.
ahhhhhh Bana mi nachukua yote..
Haya basi ntafanya hivyo 9.30pm itakuwa.. ( you know what I mean) .. oa
usipotee sawa ae..
Fine. . . nakupa na nyongeza. Utaweza kubeba?
Utanikuta mwaya.
Nilijua kashfa kama hizi hazitakosa hapa!tatizo mapadre wengi wamejaa maovu bora ukaungame mwenyewe
Mama Cheusi upo? Siku nyingi sijakuona hivi!