Oxford University Press yakiri kuhonga maafisa wa serikali Tanzania

changia m4c
 

Attachments

  • mim.gif
    mim.gif
    32.9 KB · Views: 170
Hawa OUPT si ndo walikuwa na ofisi hapo maktaba street ktk jengo zilizokuwa ofisi za TSN (Daily News) miaka ya 1994/7?
Kibosile wao alikuwa mpemba mmoja hivi alijaza ndugu zake kibao. 90% ya wafanyakazi walikuwa wapemba!
Let them face the music
 
haswa ndiyo wenyewe!

Hawa OUPT si ndo walikuwa na
ofisi hapo maktaba street ktk jengo zilizokuwa ofisi za TSN (Daily
News) miaka ya 1994/7?
Kibosile wao alikuwa mpemba mmoja hivi alijaza ndugu zake kibao. 90% ya
wafanyakazi walikuwa wapemba!
Let them face the music
 
Oxford press university,Macmilian publisher zote zinafanya kazi Tanzania kwa kifupi hatuko makini kupambana na rushwa na hata ile kampuni ya kichina iliyotaka kupewa tenda ya kujenga gati pia inahusika na rushwa PPRA wamechukua hatua za kuzifungia Oxford na ile kampuni ya kichina baada ya habari zake kuwa wazi zaidi kwananchi lakini Oxford imeachiwa iendelee na mradi huo kwa sababu makubaliano yalishafikiwa lakini wanasahau kuna kipengele cha kuzuia kampuni kupewa tenda kama itagundulika ilitoa rushwa
Ndio maana sakata la rushwa kamati za bunge zote zilitakiwa zifumuliwe upya kwani karibu zote ukiondoa zile alizotaja Nassari zinapokea rushwa
 
Mheshimiwa sana Mkulu wa Nchi atakwambieni kuwa hakuna aliyekula mlungula serikalini bali ilikuwa makosa madogo ya uchapaji!

ni mimi Mpiga Zeze
Magogoni kwa Mfugarushwa
 
Back
Top Bottom