Kama media haina uwezo wa kuwahoji 'Majina Makubwa' kwanini inawaalika kwenye vipindi vyao?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,145
Uwezo ni pamoja na kuwa huru kufanya mahojiano bila kuyakatisha au kuahirisha.

Nakumbuka wakati Rais Mkapa anaokwenda kufanya kipindi/mahojiano pale Hard Talk BBC na pale ndio nilielewa faida ya media kuhojiana na hawa big names.

Tanzania bado sana ila pale Citizen TV Kenya wenzetu wana uwezo, akina Jeff huwa wanamuhoji Ruto na Raila tena siku hiyo hiyo moja.

Sikushangaa yule bwana mdogo wa Citizen TV kuchukua kiti pale Focus on Africa BBC huku wengi waliamini nafasi ile ni ya kijana wetu mpendwa Kikeke.

Ila hapa JF tunaenjoy 😀
 
Uwezo ni pamoja na Kuwa Huru Kufanya Mahojiano Bila kuyakatisha au Kuahirisha.

Nakumbuka Wakati Rais Mkapa anaokwenda Kufanya kipindi/ mahojiano pale Hard Talk BBC na pale ndio nilielewa faida ya media kuhojiana na hawa Big Names.

Tanzania bado sana ila pale Citizen TV Kenya wenzetu Wana Uwezo akina Jeff huwa wanamuhoji Ruto na Raila tena Siku hiyo hiyo Moja.

Sikushangaa yule bwana mdogo wa Citizen TV kuchukua kiti pale Focus Africa BBC huku wengi waliamini nafasi ile ni ya Kijana wetu Mpendwa Kikeke.

Ila hapa JF tunaenjoy 😀
Unauliza matokeo yaliyosababishwa na CCM yetu?

Tuinyime KURA ili nchi ipone
 
Kwamba uwaeleze watu eti uongozi wa Wasafi media wameamua tu kusitisha mahojiano na TAML bila sababu kutolewa?Haiwezekani.Labda kuwadanganya wehu.CCM wasijiite chama kikongwe bila kuuishi ukomavu.Huyo ni mkongwe coward,hypocrite na mzinguaji asiye kifani.Huwezi kubaki hivyohivyo na ukajinasibu unajifunza bila kutoka na kuteka mapya ya nje.
 
Media capture Tanzania ni janga ambalo limefanya media houses kuwa makasuku pamoja na waandishi wa habari.

Kinacho sababisha yote haya ni haki ya matangazo ( matangazo ndio moyo wa media house kwenye mapato na serikali ndo mtangazaji mkuu).
 
Watz wengi hatujajua kama Kuna majangili wasio na akili wale wanaoua tembo na wale wenye maarifa wakila Kila aina ya keki za taifa na wakati huo huo wakimuona aliyewaona huyo wataminya hadi kende tena mchana kweupeee
 
Ni ngumu kwa media za kibongo kuishi bila haki za matangazo kutoka kwa wakubwa ..

Hapo ilitoka simu kutoka wizara ya habari kwenda kwa Diamond ..zuia kipindi cha asubuhi ...baaaasiii ..

Katiba yetu haiwezi kubadilika siku sa karibuni kwa kuwa wenye mamlaka wanafanya wanacho jisikia popote pale katika taasisi yoyote iwe ni ya umma au binafsi...na huwezi kuwawajibisha kwa lolote
 
Uwezo ni pamoja na kuwa huru kufanya mahojiano bila kuyakatisha au kuahirisha.

Nakumbuka wakati Rais Mkapa anaokwenda kufanya kipindi/mahojiano pale Hard Talk BBC na pale ndio nilielewa faida ya media kuhojiana na hawa big names.

Tanzania bado sana ila pale Citizen TV Kenya wenzetu wana uwezo, akina Jeff huwa wanamuhoji Ruto na Raila tena siku hiyo hiyo moja.

Sikushangaa yule bwana mdogo wa Citizen TV kuchukua kiti pale Focus Africa BBC huku wengi waliamini nafasi ile ni ya kijana wetu mpendwa Kikeke.

Ila hapa JF tunaenjoy 😀
Media zetu zina uwezo huo, ila sometimes wamiliki ni waoga!. Kama hii issue kuna majinga yamempigia Mondi, yakamwambia CCM haitafurahi TL kupewa airtime hapo kwako!, hivyo aliyezuia mahojiano hayo ni kijinga fulani tuu!.

Hili nimewahi lizungumza humu, Tanzania tuna uhuru wa habari, ila media oga! Tungekuwa mbali sana kimaendeleo, rushwa, uhujumu, ufisadi, ubadhirifu vingeibuliwa kabla
P
 
Back
Top Bottom