johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,119
Ujio wa Othman Masoud kwenye Uongozi wa ACT Wazalendo na kuimarika kwa Chadema upande wa Tanganyika kutabadili kabisa mwelekeo wa Siasa nchini.
Japokuwa Masoud hatakuwa KC lakini kutokuwepo Zitto Kabwe kwenye safu ya Uongozi kutamfanya ayafikie Malengo yake ya kisiasa bila bugza.
Ikumbukwe Zitto ndio alifanya ACT Wazalendo iwe mdebwedo kwa sababu ya kutumikia Mabwana Wawili
Kwa upande wa Chadema moto Wao tayari unawaka na watakapoanza kumchambua CHAWA mmoja mmoja ndio hapo CHAWA watajua hawajui.
Mungu wa Mbinguni Ibariki CCM.
Japokuwa Masoud hatakuwa KC lakini kutokuwepo Zitto Kabwe kwenye safu ya Uongozi kutamfanya ayafikie Malengo yake ya kisiasa bila bugza.
Ikumbukwe Zitto ndio alifanya ACT Wazalendo iwe mdebwedo kwa sababu ya kutumikia Mabwana Wawili
Kwa upande wa Chadema moto Wao tayari unawaka na watakapoanza kumchambua CHAWA mmoja mmoja ndio hapo CHAWA watajua hawajui.
Mungu wa Mbinguni Ibariki CCM.