fige
JF-Expert Member
- Jul 4, 2010
- 376
- 61
Ama kweli wamerakan wameamua..watafanya kila propaganda,ila ht mtt mdogo hili hawez kulikubali
Hata mimi nina mashaka na kifo cha Osama ila ninachoshangaa ni kwa nini watoto wake hawakujitoa mhanga.
Ama kweli wamerakan wameamua..watafanya kila propaganda,ila ht mtt mdogo hili hawez kulikubali
najua propaganda zipo kwenye habari tunazojulishwa. lakini kwa mawazo yangu naamini 1. osama kauawa 2. alikamatwa hai na wangeweza kumkamata bila ya kumuua 3. waliamua kumuua ili kuepusha 'movements' za makundi kibao ambayo yangetaka Osama ashitakiwe haraka na kwenye mahakama za kiraia (unakumbuka vurugu za uhalali wa gereza la guantanamo? Kama angebaki hai na hastakiwi au ashtakiwe guantanamo bado makundi yangechonga sana duniani na kuhatarisha yaitwayo 'maslahi' ya marekani duniani kote 4. katupwa (call it kuzikwa) baharini ili kaburi lake lisijulikane lilipo na kugeuzwa eneo la hija. wanaodhani Osama yuko hai walie tu. 5. Wanaodhani pia kuwa Osama led a pure moslem life, pia siwakubali. Uislam hau-entertain ugaidi wa aina yake na wala aliyokuwa akiyafanya hayakuwa jihad. 6. hakuwa ametegemea kabisa kuwa yuko karibu kushambuliwa na nadhani kwa wamarekani kutowaambia pakistani kuhusiana na hilo kulimuondolea source of information. alikuwa na washirika wa karibu sana ndani ya mashushu wa Pakistani ambao walijua kwa uhakika alipokuwepo. 7. kuishi pale kwa muda mrefu kulimwondolea 'machare' na ujanja wa mstuni kama wakati ule alipokuwa mapangoni 7. hakuwahi hata mara 1 kumtoa mtoto wake yeyote kati ya 19 alionao kwenda kujitoa mhanga 8. alikuwa anatumia bangi
Piaa wayahudi hawajawahi kupinga kuwa Yesu siyo Mungu. Wao wanachoamini ni kwamba Masih hajazaliwa ambaye ni Yesu. Wanaopinga Yesu siyo Mungu ni waarabu na wafuasi wao ambao sijui kama na wewe ni mmoja au?
Utata unauleta mwenyewe kwa kuacha makusudi kuangalia operation ya dakika 40 ilifanya nini. Ngoja tuainishe baadhi:
1 ku-break in
2 kupambana na wasaidizi wa osama
3 kumwua osama
4 kupekua nyumba na kutafuta vitu na nyaraka muhimu kama usb sticks na hard drives
5 kuchukua maiti ya osama
6...
7...
8 kuondoka haraka kama ilivopangwa
WAO WANATUMIA HIZI Close Quarters Battle Receiver
hapo unaona miili misafi??!!!! vere strange........halafu unapozungumzie hizo a AK 47 nk hizo ni za kwenu huku bongo usidhani walitumia hizo bro.....
....................... una uhakika na hilo, maana QURAN inasema wanasoma kitabu kimoja lakini hawaelewani ! ulizia vizuri kuhusu YESU na WAYAHUDI !
Kila mtu ana akili isipokuwa tumetofautiana kwenye utaalam na matumizi ya akili.
Yataka moyo hii kiongozi!
Ni kweli ni muhimu, lakini kibongo inaonekana kama UCHURO!
............... " nimekuusia DINI ile ile niliyomuusia Ibrahim,kisha Musa na Isaah (Yesu) ndio hiyo hiyo nimekuusia ewe Muhammad !"Wakati mwingine hauhitajiki kuwa msomi wa Decree kuyajuwa mambo haya, wakati Yesu yupo hapa duniani hakukuwapo na kitu kinaitwa dini ya kiislamu, baada ya Yesu kuondoka Miaka mingi baadae tena zaidi ya miaka 700 ndio akaja Muhamad SW na koran. na ukumbuke Mtume Muhamad alikuwa hajui kusoma wala kuandika, kwa hiyo kama hujui kwanza uislamu usidandie kitabu kingine usichokijuwa. ukitaka kuujuwa ukristo soma kitabu cha mwanzo mpaka ufunuo na usisome ili kwenda kubishana kwenye mihadhara hautaelewa kitu.
............... " nimekuusia DINI ile ile niliyomuusia Ibrahim,kisha Musa na Isaah (Yesu) ndio hiyo hiyo nimekuusia ewe Muhammad !"
kwa taarifa yako ADAM na HAWA walikuwa WAISLAAM na YESU pia ni MUISLAAM (unaju Dini ya YESU?) (KRISTO kiyunani maana yake ni.... MUNGU !)
Sikushangai hayo ndio mafundisho ya madrasat, Hata Osama Bin Laden ni mtume wa mwenyezi mungu ambaye alikuwa anaeneza uislamu, na sasa hivi yuko peponi na mabikira 100 anajitafunia tu anavyotaka.
It was so unecessary sababu waungwana hawakuwa na silaha
ninavyo fahamu ni kwamba kuna aina tofauti za risasi- kuna ambazo hazitoki the other side-hizi zikiingia mwilini haziendi straight-zinaenda kushoto au kulia na hivyo kufanya victim apate maumivu sana na kupoteza damu-aina nyingine ya risasi ni zile ambazo once zikipigwa lazima zitokee the other side
............... kwani mnakawia kuchemka ! wapi imeandikwa UKRISTO ndio DINI ? YESU alikua DINI gani ? ................... hapo sasa ! sana sana utaleta kejeli tu, maana kazi yenu kudakia nyimbo tu ! ............ MUNGU anazaliwaje na MTU ?!:happy: