Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
Next utasikia William and Kate postponed their honeymoon because Al-Qaeda was a threat
 
Henge Osama hakuleta Uislamu, na Uislamu ulikuwepo hata kabla ya Muhammad (S.A.W) hebu tuache udini humu jaman tunaenda kubaya wadau
 
Ninachojifunza hapa ni jinsi Rais wa Nchi anavyoweza kujishusha na kuwasikiliza wataalamu wake kwa kila hatua na akabaki kufanya uamuzi baada ya kuridhika kuwa kila kitu kiko sawa. Hapa kwetu viongozi wetu wanaamua bila kuwashirikisha wataalamu. Kuna vyombo kama Kamati kuu ya CCM, NEC ya CCM, Baraza la Mawaziri, Rais mwenyewe au Waziri Mkuu wanafanya maamuzi ya ajabu kabisa. Nitawapa mifano michache:
-Kuuza nyumba za serikali liliamua Baraza la Mawaziri.
-Wagombea wa Urais kwa tiketi za vyama inaamuliwa na CC, NEC na Mkutano Mkuu.
-Mikataba mbalimbali inaamuliwa na kusainiwa na mawaziri.
-Teuzi mbalimbali anafanya Rais mwenyewe.
Tutalimaliza lini tatizo hili?
 
We angalia Rais makini.Obama alikuwa makini,akutaka kuelezwa na watu wa chini yake.Kashudia mwenyewe na kasema kitu alichosema.Mfano huu wainge na marais wengeni.Kuwa operation yoyote inapofanyika Rais kuwa karibu anaweza kuua watu ambao siyo wahusika.

Hawa jamaa look very serious in business, nimeipenda sana hii...
 
no comment kuhusiana na watanzania waliouawa chini ya amri ya Osama mwaka 1998? au keshajisahalia zake? huyu jamaa sijui ni rais wa nchi gani wallai
 
Wakubwa japokuwa kuna taarifa ambazo bado hazijathibitishwa na evidences za kutosha kuhusu kifo cha Osama. naamini kwamba ile picha aliyopigwa risasi sio ya kweli. Nimejaribu kuilinganisha naona ni picha ile ile ila imefanyiwa photoshop.... Kwanini wamzike haraka haraka hivyo.. nani ana mamlaka na mwili wa Osama..... kama ni kuua story ya osama kwenye vichwa vya watu hapa duniani basi marekani wamefanikiwa. Nadhani kwa muda wote huo ambao walikuwa wanamtafuta basi wangechukua angalau hata mfupa wa maiti yake. Hii si mara ya kwanza kusema kwamba Osama amauawa....... till I die... Osama is alive
 
Wakubwa japokuwa kuna taarifa ambazo bado hazijathibitishwa na evidences za kutosha kuhusu kifo cha Osama. naamini kwamba ile picha aliyopigwa risasi sio ya kweli. Nimejaribu kuilinganisha naona ni picha ile ile ila imefanyiwa photoshop.... Kwanini wamzike haraka haraka hivyo.. nani ana mamlaka na mwili wa Osama..... kama ni kuua story ya osama kwenye vichwa vya watu hapa duniani basi marekani wamefanikiwa. Nadhani kwa muda wote huo ambao walikuwa wanamtafuta basi wangechukua angalau hata mfupa wa maiti yake. Hii si mara ya kwanza kusema kwamba Osama amauawa....... till I die... Osama is alive


kwa nini usije na maelezo au uthibitisho kwamba hakuuawa kuliko kuleta uchambuzi hafifu..

Ni wewe tu uko-confused...

Soma hapa

Obama Watched Operation That Killed Osama
source: Obama Watched Operation That Killed Osama - Yahoo! News UK


Pictures have been released of US President Barack Obama watching live footage of the operation that killed Osama bin Laden.

The al Qaeda leader was shot dead by US special forces who stormed his villa in the Pakistani town of Abbottabad in the early hours of Monday morning local time.

Bin Laden's compound was close to a military garrison and was only around 40 miles from the capital Islamabad.

Photographs issued by the White House show the president and other members of his team looking tense as they watch live video of the mission as it happened.

US Secretary of State Hillary Clinton is shown with a particularly anxious expression, with both her hands clasped over her mouth.

US chief counter-terrorism advisor John Brennan was also among those viewing the footage.

He said: "It was probably one of the most anxiety-filled periods of time. It was clearly very tense, a lot of people were holding their breath.

"There was a fair degree of silence as the operation progressed.

"Minutes passed like days and the President was concerned about security of his personnel."

He added that a "tremendous sigh of relief" came in response to confirmation that Bin Laden was among those found in the compound.

Asked how Obama reacted when he received the news that bin Laden had been killed, Brennan recalled that the president said, "We got him."

Brennan said he would not reveal details "about what types of visuals we had or what type of feeds that were there but it was - it gave us the ability to actually track it on an ongoing basis".

The Navy SEAL team that carried out the operation were likely wearing helmet cameras that have the capability to transmit video and sound back to command centres.

One picture shows the President and Chairman of the Joint Chiefs of Staff US Navy Admiral Mike Mullen sharing what appears to be a congratulatory handshake.

2010739084-obama-watches-live-bin-laden-killed.jpg
 
US holds photos of slain bin Laden, weighs release


AP – President Barack Obama speaks during a dinner for a group of bipartisan Congressional leaders and ranking …



By ADAM GOLDMAN and KIMBERLY DOZIER, Associated Press Adam Goldman And Kimberly Dozier, Associated Press – 1 min ago
WASHINGTON – Still-secret photos of the dead Osama bin Laden show a precision kill shot above his left eye, a U.S. official said, as fresh details emerged of an audacious American raid that netted potentially crucial al-Qaida records as well as the body of the global terrorist leader. President Barack Obama is going to ground zero in New York to mark the milestone and remember the dead of 9/11.
Patience and persistence — characteristics normally attributed to al-Qaida — proved decisive in America's decade-long hunt for bin Laden, whose fate was sealed in 40 minutes of thunderous violence, years in the making.
According to the U.S. account, the assault team came away with hard drives, DVDs, documents and more that might tip U.S. intelligence to al-Qaida's operational details and perhaps lead the manhunt to the presumed next-in-command, Ayman al-Zawahri. The CIA is already going over the material.
Obama, who approved the extraordinarily risky operation by Navy SEALs against bin Laden's Pakistan redoubt and witnessed its progression from the White House Situation Room, his face heavy with tension, reaped accolades from world leaders he'd kept in the dark as well as from political opponents at home.
Republican and Democratic leaders alike gave him a standing ovation at an evening White House meeting that was planned before the assault but became a celebration of it, and an occasion to step away from the fractious political climate. Obama plans to visit New York on Thursday.
"Last night's news unified our country," much as the terrorist attacks of Sept. 11, 2001, did, Republican House Speaker John Boehner said earlier in the day. Obama later appealed for that unity to take root as the U.S. presses the fight against a terrorist network that is still lethal — and now vowing vengeance.
The episode was an embarrassment, at best, for Pakistani authorities as bin Laden's presence was revealed in their midst. The stealth U.S. operation played out in a city with a strong Pakistani military presence and without notice from Washington. Questions persisted in the administration and grew in Congress about whether some elements of Pakistan's security apparatus might have been in collusion with al-Qaida in letting bin Laden hide in Abbottabad.
In an essay published Monday by The Washington Post, Pakistani President Asif Ali Zardari denied suggestions his country's security forces may have sheltered Osama bin Laden, and said their cooperation with the United States helped pinpoint bin Laden.
As Americans rejoiced, they worried, too, that terrorists would be newly motivated to lash out. In their wounded rage, al-Qaida ideologues fed that concern. "By God, we will avenge the killing of the Sheik of Islam," one prominent al-Qaida commentator vowed. "Those who wish that jihad has ended or weakened, I tell them: Let us wait a little bit."
In that vein, U.S. officials warned that bin Laden's death was likely to encourage attacks from "homegrown violent extremists" even if al-Qaida is not prepared to respond in a coordinated fashion now.
The administration weighed whether to release photos of bin Laden's corpse and video of his swift burial at sea. Officials were reluctant to inflame Islamic sentiment by showing graphic images of the body. But they were also eager to address the mythology already building in Pakistan and beyond that bin Laden was somehow still alive.
U.S. officials say the photographic evidence shows bin Laden was shot above his left eye, blowing away part of his skull.
He was also shot in the chest, they said. This, near the end of a frenzied firefight in a high-walled Pakistani compound where helicopter-borne U.S. forces found 23 children, nine women, a bin Laden courier who had unwittingly led the U.S. to its target, a son of bin Laden who was also slain, and more.
Bin Laden had lived at the fortified compound for six years, officials said, putting him far from the lawless and harsh Pakistani frontier where he had been assumed to be hiding out.
The only information about what occurred inside the compound has come from American officials, much of it provided under condition of anonymity.
They said SEALs dropped down ropes from helicopters, killed bin Laden aides and made their way to the main building. Obama and his national security team monitored the strike, watching and listening nervously and in near silence from the Situation Room as it all unfolded.
"The minutes passed like days," White House counterterrorism adviser John Brennan said.

U.S. officials said the information that ultimately led to bin Laden's capture originally came from detainees held in secret CIA prison sites in Eastern Europe. There, agency interrogators were told of an alias used by a courier whom bin Laden particularly trusted.
It took four long years to learn the man's real name, then years more before investigators got a big break in the case, these officials said. Sometime in mid-2010, the man was overheard using a phone by intelligence officials, who then were able to locate his residence — the specially constructed $1 million compound with walls as high as 18 feet topped with barbed wire.
U.S. counterterrorism officials considered bombing the place, an option that was discarded by the White House as too risky, particularly if it turned out bin Laden was not there.
Instead, Obama signed an order on Friday for the team of SEALs to chopper onto the compound under the cover of darkness.
In addition to bin Laden, one of his sons, Khalid, was killed in the raid, Brennan said. Bin Laden's wife was shot in the calf but survived, a U.S. official said. Also killed were the courier, another al-Qaida facilitator and an unidentified woman, officials said.
Some people found at the compound were left behind when the SEALs withdrew and were turned over to Pakistani authorities who quickly took over control of the site, officials said. They identified the trusted courier as Kuwaiti-born Sheikh Abu Ahmed, who had been known under the name Abu Ahmed al-Kuwaiti.
Within 40 minutes, the operation was over, and the SEALs flew out — minus one helicopter, which had malfunctioned and had to be destroyed. Bin Laden's remains were flown to the USS Carl Vinson, then lowered into the North Arabian Sea. Bin Laden's death came 15 years after he declared war on the United States. Al-Qaida was also blamed for the 1998 bombings of two U.S. embassies in Africa that killed 224 people and the 2000 attack on the USS Cole that killed 17 American sailors in Yemen, as well as countless other plots, some successful and some foiled.
 
They (USA) created Osama and he screwed them now they decide to remove him from the history same way they created him....so let them do it. As long as it makes them sleep at night. Maana from the begining they played the same game so as to invade those countries in the name of terrorist and the likes now they make us believe they have killed him...

Nakubaliana na Mgalanjuka kwamba wao kwa kutumia vyombo vyao vya habari walimtengeneza Osama na vyombo hivyohivyo watamuondoa.

Unashangaza
 
Ukiangalia vizuri hiyo picha halafu ukatazama picha ya Osama ya miaka kumi iliyopita hiyo inaonekana kuwa ilikuwa ya zamani zaidi. Kwanza mvi za ndevu zimekuwa sio nyingi kuliko kwenye ile picha ya 2001, kitu ambacho ukifikiria sana utaona kuwa kwa sasa angetakiwa awe na mvi nyingi zaidi. Halafu hata picha iliyoonyeshwa inaonyesha kuwa alikuwa kijana zaidi wakati anauawa.
Tunahitaji ukweli zaidi ili isije ikawa sinema za kimarekani!

Hoja zako hazina mashiko. Vipi kama osama alikua anatumia rangi za nywele. Vitu vingine bana yaani ndanda kosovo kwa vile alikuwa na nywele nyeupe akiachia rangi nyeusi anakua sio ndanda kosovo?
 
kwa nini usije na maelezo au uthibitisho kwamba hakuuawa kuliko kuleta uchambuzi hafifu..

Ni wewe tu uko-confused...

Soma hapa

Obama Watched Operation That Killed Osama
source: Obama Watched Operation That Killed Osama - Yahoo! News UK


Pictures have been released of US President Barack Obama watching live footage of the operation that killed Osama bin Laden.

The al Qaeda leader was shot dead by US special forces who stormed his villa in the Pakistani town of Abbottabad in the early hours of Monday morning local time.

Bin Laden's compound was close to a military garrison and was only around 40 miles from the capital Islamabad.

Photographs issued by the White House show the president and other members of his team looking tense as they watch live video of the mission as it happened.

US Secretary of State Hillary Clinton is shown with a particularly anxious expression, with both her hands clasped over her mouth.

US chief counter-terrorism advisor John Brennan was also among those viewing the footage.

He said: "It was probably one of the most anxiety-filled periods of time. It was clearly very tense, a lot of people were holding their breath.

"There was a fair degree of silence as the operation progressed.

"Minutes passed like days and the President was concerned about security of his personnel."

He added that a "tremendous sigh of relief" came in response to confirmation that Bin Laden was among those found in the compound.

Asked how Obama reacted when he received the news that bin Laden had been killed, Brennan recalled that the president said, "We got him."

Brennan said he would not reveal details "about what types of visuals we had or what type of feeds that were there but it was - it gave us the ability to actually track it on an ongoing basis".

The Navy SEAL team that carried out the operation were likely wearing helmet cameras that have the capability to transmit video and sound back to command centres.

One picture shows the President and Chairman of the Joint Chiefs of Staff US Navy Admiral Mike Mullen sharing what appears to be a congratulatory handshake.

2010739084-obama-watches-live-bin-laden-killed.jpg



I do believe that Bin Laden has been killed but unfortunately my certainty only runs about 70% thus somewhere at the back door of my brain there are still some unanswered questions. I have read your post - but if possible Mpendwa I would like some other explanation or evidence which nullifies my doubts...

The post you have produced my as well have been just a camouflage for the US are experts and good at that, the only thing which has made my 70% certainty is the fact that there has been no word from Al-Quida nor Bin Laden himself. Apart from the post i would really appreciate your update which may be logically valid.
 
Dawa ya Babu pamoja na kushangiliwa sana pole pole inathibitika kuwa si dawa kitu bali ugonjwa mwengine tu.
Kwa upande mwengine mtu anapokuwa muongo kila anapoendelea kufanya hivyo hatimae husema uongo ukamdhuru mwenyewe.Hii ndio hali katika habari za kifo cha Osama,kumbe itakuwa kifo cha Obama na USA.
Zamani walitudanganya kwamba wametua mwezini,imechukua miaka mingi kuthibitika kuwa haiwezekani kufika mwezini na kurudi kirahisi,iwapo mtu atafika hawezi kurudi na picha yoyote.Utashangaa wale marubani waliotajwa kutua huko daima hawako watu huru.
Taarifa nilizonazo ni kuwa Osama alikuwa kkifungoni mwao zamani eneo hilo hilo la Abottobad.Waangalizi wake walikuwa shirika la kijasusi la Pakistan.Alikuwa akielekezwa cha kuzungumza chini ya mtutu wa bunduki.Ndio maana kitu kisicho kawaida kilikuwa kikifanyika,kwamba OSAMA YUKO MBIONI KUTOA TAMKO JIPYA!
Osama alipofariki kwa maradhi kama binadamu kutokana na uchungu wa maudhi walikaa kimya.Juzi wamemfufua halafu wakamuua ili kampeni za uraisi zishike kasi.
....Mtu wa karibu aliyetoa taarifa kwa America ametoka kule kule kwenye koloni lao la Kuwait.
...Eneo hilo la Pakistan eti wakati shambulio likiendelea kulikuwa na mtu akitoa maelezo kwenye twitter.Huyu ndiye ukurasa wake uliovutia watu 37,000 kwa wakati mmoja.Hata kama alikuwa akiongea ki-urdu huyu ni CIA aliyekuwa mmoja wa washiriki katika mchezo huu.
 
Wakubwa japokuwa kuna taarifa ambazo bado hazijathibitishwa na evidences za kutosha kuhusu kifo cha Osama. naamini kwamba ile picha aliyopigwa risasi sio ya kweli. Nimejaribu kuilinganisha naona ni picha ile ile ila imefanyiwa photoshop.... Kwanini wamzike haraka haraka hivyo.. nani ana mamlaka na mwili wa Osama..... kama ni kuua story ya osama kwenye vichwa vya watu hapa duniani basi marekani wamefanikiwa. Nadhani kwa muda wote huo ambao walikuwa wanamtafuta basi wangechukua angalau hata mfupa wa maiti yake. Hii si mara ya kwanza kusema kwamba Osama amauawa....... till I die... Osama is alive
<br />
<br />
Till u die OSAMA is kekaya za abunuwasi!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom