SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,909
kuwa na M.A si kuwa eti una akili au uelewa mkubwa kuliko wengine-la hasha-kila mtu akitaja mambo yake tutaanza kukimbiana-wengine utakuta ni walimu wako hapa-
WATOA JICHO WAPO KILA SEHEMU,KILA NCHI, NA KATIKA DINI ZOTE-HATA HAPA TZ UKIWATAFUTA UTAWAPA KINA AUNT ALI,AUNT JOHN N.K
kaazi kweli kweli