GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,130
Mbona Watu wanadai Wote wapo Mkekani Mkuu?Hawapo hao, nadhani wameondolewa
Mbona Watu wanadai Wote wapo Mkekani Mkuu?Hawapo hao, nadhani wameondolewa
Huwenda alifanyiwa interview kubwa kubwaHivi huyu basila mpaka kupewa udc ilikuwaje kuwaje??
Ova
Una uhakika?Mwaipaya kabaki mwanga
Tuishibishe list.Yule aliempiga mwanafunzi kabaki?
Mimi naongezea Siael Mchembe. Huyu alikuwa na kiherehere sana .Sasa arudi IFM akafundishe.
Mchembe alitusumbua sana alipokuwa gairoTuishibishe list.Yule aliempiga mwanafunzi kabaki?
Mimi naongezea Siael Mchembe. Huyu alikuwa na kiherehere sana .Sasa arudi IFM akafundishe.
Wasaliti hawaachwi , huyu kabaki NkasiTayari nae Jua limeshakuwa Kali Kwake.
Duh...Jerry nae alizidi umalaya sana
Yani paja halimpiti. Haya sasa njoo tuzurure wote mtaani
Naomba kujua kuhusu Peter Lijua Likali
3.Sara Msafiri1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
Hapana Mwaipaya bado ni DC Mwanga,kabaki hapo hapo!Mwaipaya karudi radio one na J Muro karudi Yanga
Hapana huyu hawezi kufikia kufanya mambo hayo,sema tu kwenye masuala ya siasa siasa ni mweupeHuwenda alifanyiwa interview kubwa kubwa
Hapana,Godwin Gondwe!Someni vizuri na acheni kupotosha.Mwaipaya amepelekwa Bahi
Arudi tu aendeleze tasnia yake ya uremboBasila Mwanukuzi hakuwa na haiba ya ukuu wa Wilaya Basi tu.
Mwaipaya karudi radio one na J Muro karudi Yanga
Kama Nick wa MitegoHivi huyu basila mpaka kupewa udc ilikuwaje kuwaje??
Ova
Huyo wa no. 2 kiazi kabisa1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
Wataule wa JPM wanaendelea kufutwa1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
Abdallah Mwaipay yupo. Kabadilishwa kituo cha kazi tuMwaipaya karudi radio one na J Muro karudi Yanga